Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Wazungu wako vzr sana.... Huyu hapa shabiki wa Arsenal game ameamua kuonyesha unazi wake kwa timu yake....sherehe ilienda vzr na kuifanya iwe na mvuto wa aina yake....cheki maneno
Namwonea huruma mke...arsenal?,daa
Si wanasemaga washabiki wa Arsenal ni wavumilivu sana!Namwonea huruma mke...arsenal?,daa
kweli anaroho ngumu na uvumilivu,,,kwa vipigo vinavyopokelewa na aseno kuvaa jezi mtaani tu ni aibu
huyu kawezaje harusini
kwa kipindi hiki tangu msimu huu umalizike sijaona hata mojaUmeona jezi ngap za asenali mtaani?
Kumbe msimu ulipoisha.... msimu umeisha nan avae jezi....watu wanavaa sana jezi wakienda kucheki gemu au mazoezini....mazoezi mengi sikosi jezi zao....huko kwenu mna lifestyle tofauti labdakwa kipindi hiki tangu msimu huu umalizike sijaona hata moja
Hata Africa kuna watu zero brainEndeleeni kuamini kama wazungu wote wana akili timamu
Bangi inapoamua kukudanganya kuwa umefanya ubunifuWazungu wako vzr sana.... Huyu hapa shabiki wa Arsenal game ameamua kuonyesha unazi wake kwa timu yake....sherehe ilienda vzr na kuifanya iwe na mvuto wa aina yake....cheki manenoView attachment 1121237
Kwel Mm ndio sijui kiswahili nilidhani kaioa jezi...