Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
Kulipa watalipa......na hawatajiuzulu. hawa jamaa wameshatuona sisi wananchi ni Mabwege wanadhani hatujui wanamlipa nani na kwa manufaa ya nani.....Hakuna utawala nchi hii, ni wizi na usanii mtupu....When it comes kwenye mambo ya Msingi unsikia " SERIKALI HAINA PESA" ila imekuja hii ya kuilipa Dowans FASTA wanailipa kwa kisingizio cha riba itapanda....hapo hapo Huduma za Jamii bado ni Mbovu......PAMABAF.....
Sometimes najuta kuwa M'TZ
Sometimes najuta kuwa M'TZ