Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Tuseme hao Maaskofu woote waseme wawezayo mpaka wachoke, Je itaiongezea nini chadema ? Wataokoa kifo cha chadema?
Wanaoiangamiza chadema ni Viongozi wa chadema kwa kushindwa kuwa Wabunifu, hkn Mtz atakayewapa kura kwa kuwatumia Maaskofu, ingekuwa ni hivyo fisadi Lowasa angekuwa Raisi wa JMTZ leo hii kwani hajaanza kuwatumia Maaskofu leo, ameanza zamani hivyo zaidi ya kelele tu hakuna jipya, ...
Wanaoiangamiza chadema ni Viongozi wa chadema kwa kushindwa kuwa Wabunifu, hkn Mtz atakayewapa kura kwa kuwatumia Maaskofu, ingekuwa ni hivyo fisadi Lowasa angekuwa Raisi wa JMTZ leo hii kwani hajaanza kuwatumia Maaskofu leo, ameanza zamani hivyo zaidi ya kelele tu hakuna jipya, ...