Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Katika hali ya kustaajabisha African Media Barometer imefanya survey inayoonesha kuwa watz wanaamini wana demokrasia.
Kutokana na uhalisia wanasema kweli demokrasia iko kwenye macho ya anayetazama. Yaani demokrasia sio tena suala la kufuatwa kwa principles bali ni namna mtu anavyoona inafaa.
Suala la Tanzania kuwa na matokeo tofauti ni jambo la.muda mrefu sana ambalo linaweza kumaanisha kuwa watu hawajui kuhusu demokrasia au siasa.
Kutokana na uhalisia wanasema kweli demokrasia iko kwenye macho ya anayetazama. Yaani demokrasia sio tena suala la kufuatwa kwa principles bali ni namna mtu anavyoona inafaa.
Suala la Tanzania kuwa na matokeo tofauti ni jambo la.muda mrefu sana ambalo linaweza kumaanisha kuwa watu hawajui kuhusu demokrasia au siasa.