mwanaNjilo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 277
- 195
Wachina wanakuja tena kututawala. Tena wanakuja kwa kasi sana. Wait n' see!
Sio kamwamvuli ila ukitazama kwa mbali lazima uone kuna kitu kitakuja tokea baina ya Uchina na Afrika.Hako ka mwavuli alikomshikia tu ndio umeona ni ukoloni. hahahahah
Hivi katika Historia China waliwahi kutawala nchi yoyote hapa Africa? mie siko vizuri kwenye somo la historia mpendwa wanguSio kamwamvuli ila ukitazama kwa mbali lazima uone kuna kitu kitakuja tokea baina ya Uchina na Afrika.
Hapana.Hivi katika Historia China waliwahi kutawala nchi yoyote hapa Africa? mie siko vizuri kwenye somo la historia mpendwa wangu
Wachina ni Economic giants saivi, so wana-strategy zao za kutafuta masoko na malighafi nchi ya nch yao...km wafanyavo mataifa mengne makubw kiuchumi! Kuna nchi huko Asia inadaiwa na China kiasi kwmba hawawez kulipa ilo deni, so jnc pekee ya kulipa deni kimkataba ni kuwaruhusu wachina wafanye shughul za kiuchumi kwny hiyo nch na kuvuna resources za iyo nch kwa muda waliokubaliana kimkataba. So sioni km China atashndwa kuja kututawala waafrika wakat tayar kashafanya mambo meng kw nch nyng za kiafrika...including Rail ya Standard Gauge ya Kenya...hii imeisha kwa gharama zao wchinaHivi katika Historia China waliwahi kutawala nchi yoyote hapa Africa? mie siko vizuri kwenye somo la historia mpendwa wangu
Uliza Zambia na Sri Lanka wanateseka sasaHivi katika Historia China waliwahi kutawala nchi yoyote hapa Africa? mie siko vizuri kwenye somo la historia mpendwa wangu