Afrika tumejipangaje kijeshi wakati huu wa teknolojia

thewajibu

JF-Expert Member
Jan 14, 2017
226
293
Wakati joto likipanda dhidi ya USA na NK jambo lakujiuliza ni kwamba Wakiduku akikosea kombora moja hata katika majaribio likaelekea Afrika ni nchi gani yenye uwezo wa kulisambaratisha kabla madhara hayajatokea au tutatumia yale matofali.
Watalaamu tujuzane nguvu za kijeshi Afrika
 
Cc tz tunambinu zetu za Enzi zile za mjeruman.
Mambo ya kuanza kutwambia cjui nyukilia wakati milo 3 tu inatumbua hatutaki cie bhana.
 
Hiyo teknojia unayoiongelea tunayo? Hivi Watanzania tunawaza nini wewe unafanana sana wale wanaowaambia wazazi wao ningetangulia mimi kuzaliwa ningekuzaa. Hayo unayowaza kwa bajeti gani, ikiwa hiyo bajeti inategemea misaada ya nje, zikinunuliwa ndege tunalia, zikijengwa reli tunalia, kuwa sio kipaumbele chetu, je kujiandaa kivita ndiyo kipaumbele chetu. Unakula kwa mjomba alafu unawaza kujenga gorofa, hii ajabu ya Watanzania kwa walimwengu.
 
Back
Top Bottom