Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,614
Afrika tumejiandaaje na ujio wa AI (Artificial Intelligence au Akili Bandia)?
Zipo fununu za mipango ya kuanza kutengeneza Robots kwenye nyanja zote za maisha ikiwemo Robot Clerics ambazo zinamezeshwa misahafu mizima na kwa vile nyumba za ibada misa na hotba hazihojiwi kama vipindi vya darasani utajikuta nyumba za ibada nyingi zinatumia Robot Clerics kupunguza mzigo wa kazi na gharama na kupata tija kutokana na uaminifu wa Robot kwenye sadaka.
Musk anatanua teknolojia hii na anadhaniwa atakuja kuzindua Robot Advocates, Robot Teachers, Robot Pilots, Robot Doctors, Robot Magistrates, Robot Fighters, Robot Husbands, Robot Drivers, Robot Waiters & Waitresses, Robot Lecturers, Robot Bankers, Robot Accountants, Robot Auditors nk nk
AI (Artificial Intelligence) huenda itakuja kupunguza uhitaji wa binadamu kwa 75%, watabaki ma-genius na matajiri tu kwenye sayari karne moja ijayo.
Pengine 10% ya watu wa dunia wapatao 8bl yaani 800,000,000 sawa na 57.14% ya watu wa China pekee ndiyo watasalia. The rest watakuwa useless wasiotakiwa tena kwenye sayari. Kwahiyo wanaosoma watasoma kujifurahisha tu, masikini nao watakuwa mere wastes.
Tayari wazungu wameanza mijadala na migomo kupinga uvumbuzi huu, Afrika sisi tunasubiri kuamuliwa hatma zetu.
Zipo fununu za mipango ya kuanza kutengeneza Robots kwenye nyanja zote za maisha ikiwemo Robot Clerics ambazo zinamezeshwa misahafu mizima na kwa vile nyumba za ibada misa na hotba hazihojiwi kama vipindi vya darasani utajikuta nyumba za ibada nyingi zinatumia Robot Clerics kupunguza mzigo wa kazi na gharama na kupata tija kutokana na uaminifu wa Robot kwenye sadaka.
Musk anatanua teknolojia hii na anadhaniwa atakuja kuzindua Robot Advocates, Robot Teachers, Robot Pilots, Robot Doctors, Robot Magistrates, Robot Fighters, Robot Husbands, Robot Drivers, Robot Waiters & Waitresses, Robot Lecturers, Robot Bankers, Robot Accountants, Robot Auditors nk nk
AI (Artificial Intelligence) huenda itakuja kupunguza uhitaji wa binadamu kwa 75%, watabaki ma-genius na matajiri tu kwenye sayari karne moja ijayo.
Pengine 10% ya watu wa dunia wapatao 8bl yaani 800,000,000 sawa na 57.14% ya watu wa China pekee ndiyo watasalia. The rest watakuwa useless wasiotakiwa tena kwenye sayari. Kwahiyo wanaosoma watasoma kujifurahisha tu, masikini nao watakuwa mere wastes.
Tayari wazungu wameanza mijadala na migomo kupinga uvumbuzi huu, Afrika sisi tunasubiri kuamuliwa hatma zetu.