Afrika pumbavu

Aisee we jamaa acha nikuwie radhi tu maana nahisi utakuwa mpambanaji.
Ila tatizo tu unataka kuanza kuvunjiana heshima hapa.
 
Na Libya ikiwemo au....?
Libya, tunisia,Misri, Morocco hizi ni nchi za kiafrica za waarabu,au waarabu wa Afrika, tofauti kabisa kimaendeleo na nchi za afrika ya weusi.
Kilichowasaidia ni dini ya kiislamu kwa maana katika uislamu waumini wote ni sawa mbele ya Mola wao,hii imewakaa akilini hata watawala wao hofu ya kutowatendea mabaya wanaowatawala,hata hapa nchini muislamu akishika usukani angalau wananchi wanapumua.
Uislamu umewasaidia kuepuka mambo ya riba,rushwa,ufisadi na ulafi pia.
 
Kila
Na Libya ikiwemo au....?
Kila nchi ina aina za matatizo yake, kati ya niliyoyaainisha hapa. Walau kutokana na Sheria ngumu nchi nyingi za kiafrika zenye wakaazi waarabu zimetulia katika upuuzi huu, ijapokuwa na wao Wana aina zao za matatizo ambayo sisi atuwezi kuyamudu.
 
Leo umecharuka sijui nani amekuudhi.
 
Akina Masanja ndio wanategemewa kuongea siku ya Uhuru wa Tanganyika na makamu wa Rais hana nafasi.
Afrika bado sana
 
Akina Masanja ndio wanategemewa kuongea siku ya Uhuru wa Tanganyika na makamu wa Rais hana nafasi.
Afrika bado sana
Wale wawili walichaguliwa kwa kigezo cha uanaccm, ile ndiyo top cream ya wachekeshaji wa CCM!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…