Mali nliwapenda. Ila sasa jeshi limekabidhi serikali lakini kuna waasi bado wanataka na wao waichukue nchi.
Kwani ni mara ngapi kumetokea threats za kuichangmsha serikali hapa?
Nakumbuka kipindi cha Mwinyi wajeda walitaka kumletea soo mzee Mwinyi, sema Nyerere akawabeg, afu yeye ndo akamstua Mwinyi ili awatendee fair hawa wazee wa kazi.