Kwanza kabisa, utafika baada ya siku 7, pili jiandae kuharisha maana utakutana na misosi tofauti tofauti kwa kua tamaduni za nchi zinatofautiana..tatu jiandae kupata corona ama malaria sugu, nne jiandae kupata UTI sugu maana mademu wa malawi wana uti sugu hata uvae kondom.