Haya ni maneno yaliyotamkwa na Rais mstaafu wa Marekani Barrack Obama alipofanya ziara nchini mwaka 2014."Africa needs strong institution rather than strong men".
Hivi kweli watanzania tulimuelewa?
Tunawe mikono na kuvaa barakowa
Corona IPO na hatari.
Ni kweli cionawana Trump ni mbishi kiasi kwamba anapingana na wataalamu wa sayansi katika mambo nyeti.....ila system inamnyoosha vizuri wa marikani hawapati mathara ya utendaji wake mbovu.....lakini kupata institution imara hapa Africa it's a dream our leaders are selfish
Kuna kitabu kimoja, kama una muda na hujawahi kukisoma kitafute ukisome, ni keki kabisa kwenye hili uliloliongea. "Why Nations Fail" kimeandikwa na Daron Acemoglu pamoja na James A. Robinson
Viongozi imara wanaoweza kujenga taasisi imara, ni wale wanaojitabanaisha kuongoza kwa kutanguliza maslahi mapana ya nchi na vizazi vijavyo.
Ni kwa bahati mbaya sana kwani viongozi wetu huangalia zaidi maslahi mapana ya uchaguzi ujao.