SINGLE RASHID
Member
- Nov 8, 2012
- 71
- 15
Wadau mzima wote??
Hivi mwenzenu hapa ndo panaponichanganya sana....wakati wenzetu wanzungu katika mechi zao wanafungana magoli kibao tena kwa mbwembwe za kufa mtu na mpira wa kasi...Sisi huku kwetu mpaka sasa almost mechi mbili sasa afrika kusin vs cape verde na angola vs morocco mpaka sasa hakuna goli...Hii ina maanisha nini??? tuna mabeki bora sana au washambuliaji wetu wabovu??
Hivi mwenzenu hapa ndo panaponichanganya sana....wakati wenzetu wanzungu katika mechi zao wanafungana magoli kibao tena kwa mbwembwe za kufa mtu na mpira wa kasi...Sisi huku kwetu mpaka sasa almost mechi mbili sasa afrika kusin vs cape verde na angola vs morocco mpaka sasa hakuna goli...Hii ina maanisha nini??? tuna mabeki bora sana au washambuliaji wetu wabovu??