Africans in Israel join forces for improvement

Status
Not open for further replies.

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
Al-Abed was among dozens of members of the various communities with African roots who met for three days last week in the southern Israeli desert town of Dimona. They formed a group, the "Middle East African Diaspora Commission," but offered no specific plans.

Participants hope to launch economic projects that would provide employmentto the most disadvantaged blacks in Israel - Africanasylum seekers and Bedouin Arabs. They also plan to lobby the government to improve the situation of blacks in Israel.

Africans in Israel join forces for improvement - Yahoo! News
 
Ilove jewish people!they are brave, courageous and well educated people.
 
Waisrael ni watu wapole sana na wenye upeo mkubwa katika maadili. Ndio maana mnaona diaspora ndani ya Israel. God bless Israel.
 
Waisrael ni watu wapole sana na wenye upeo mkubwa katika maadili. Ndio maana mnaona diaspora ndani ya Israel. God bless Israel.

una ushahidi wa haya unayoyasema?. ingekuwa hivyo wangeacha kuiba ardhi ya wapalestina na wangeacha kuwatreat na kuwaua kama wanyama!. information nilizokuwa nazo ni kwamba waisrael wenye asili ya ethiopia wanabaguliwa ndani ya israel
 
Waisrael ni watu wapole sana na wenye upeo mkubwa katika maadili. Ndio maana mnaona diaspora ndani ya Israel. God bless Israel.

Nashangaa kuona maoni kama haya. Waishii dunia hii yetu. Hawa Waisraeli ni wabaguzi wakubwa, ni makatili ambao wanawaua Wapalestina kila siku, somo kuhusu Qana Massacre, Sabra and Shatilla Massacre, na ukatili mwingine Israel. Unalopaswa kufahamu utawala wa Israel umetajwa na Umoja wa Mataifa kuwa utawala wa Kibaguzi-Racist State. Hauna tafauti bali ni mbaya zaidi kuhusu utawala wa kibaguzi wa Afrika Kusini.
Vipengee vya Kongamano la Kimataifa Kuhusu Ubaguzi wa Rangi huko Durban Afrika Kusini mwaka 2001 lilisema hivi:

98. Recognizing further that the Palestinian people are one such people currently enduring a colonialist, discriminatory military occupation that violates their fundamental human right of self-determination including the illegal transfer of Israeli citizens into the occupied territories and establishment of a permanent illegal Israeli infrastructure; and other racist methods amounting to Israel’s brand of apartheid and other racist crimes against humanity. Recognizing therefore that the Palestinian people have the clear right under international law to resist such occupation by any means provided under international law until they achieve their fundamental human right to self-determination and end the Israeli racist system including its own brand of apartheid.

99. Recognizing further that a basic “root cause” of Israel’s on going and systematic human rights violations, including its grave breaches of the fourth Geneva convention 1949 (i.e. war crimes), acts of genocide and practices of ethnic cleansing is a racist system, which is Israel’s brand of apartheid. One aspect of this Israeli racist system has been a continued refusal to allow the Palestinian refugees to exercise their right as guaranteed by international law to return to their homes of origin. Related to the right of return, the Palestinian refugees also have a clear right under international law to receive restitution of their properties and full compensation. Furthermore, international law provides that those Palestinian refugees choosing not to return are entitled to receive full compensation for all their losses. Israel’s refusal to grant Palestinian refugees their right of return and other gross human rights and humanitarian law violations has destabilized the entire region and has impacted on world peace and security.

160. Appalled by the on-going colonial military Israeli occupation of the Occupied Palestinian Territories (the West Bank including Jerusalem, and the Gaza Strip), we declare and call for an immediate end to the Israeli systematic perpetration of racist crimes including war crimes, acts of genocide and ethnic cleansing (as defined in the Statute of the International Criminal Court), including uprooting by military attack, and the imposition of any and all restrictions and measures on the population to make life so difficult that the only option is to leave the area, and state terrorism against the Palestinian people, recognizing that all of these methods are designed to ensure the continuation of an exclusively Jewish state with a Jewish majority and the expansion of its borders to gain more land, driving out the indigenous Palestinian population.

161. We declare that this alien domination and subjugation with the denial of territorial integrity amounts to colonialism, which denies the fundamental rights of self-determination, independence and freedom of Palestinians. Condemn this process of settler colonialism through the on-going collective punishments, expropriation and destruction of Palestinian lands, homes, property, agricultural land and crops; the establishment of illegal Israeli settlements, the mass transfer of Israeli Jewish populations to the illegally expropriated Palestinian land and the development of a permanent and illegal Israeli infrastructure, including by-pass roads.

162. We declare Israel as a racist, apartheid state in which Israels brand of apartheid as a crime against humanity has been characterized by separation and segregation, dispossession, restricted land access, denationalization, ¨bantustanization¨ and inhumane acts.

163. Appalled by the inhumane acts perpetrated in the maintenance of this new form of apartheid regime through the Israeli state war on civilians including military attacks, torture, arbitrary arrests and detention, the imposition of severe restrictions on movement (curfews, imprisonment and besiegement of towns and villages), and systematic collective punishment, including economic strangulation and deliberate impoverishment, denial of the right to food and water, the right to an adequate standard of living, the right to housing, the right to education and the right to work.

164. We recognize that targeted victims of Israel´s brand of apartheid and ethnic cleansing methods have been in particular children, women and refugees and condemn the disproportionate numbers of children and women killed and injured in military shooting and bombing attacks. Recognize the right of return of refugees and internally displaced people to their homes of origin, restitution of properties, and compensation for damages, losses and other crimes committed against them, as guaranteed in international law.

165. Appalled by the discrimination against the Palestinians inside Israel which include: The imposition of discriminatory laws, including the discriminatory laws of return and citizenship, which emphasize the ethnicity of the Israeli state as a Jewish state; the granting of benefits or privileges solely to the Jewish Israeli citizens; the imposition of restrictions on the civil and political rights of Palestinians because of their national belonging or because they do not belong to the majority ethnic group;The negation of the right of Palestinians to equal access to resources of the State and civil equality, including affirmative action policies, which recognize the historical discrimination against Palestinians inside Israel.


SOURCE
 
una ushahidi wa haya unayoyasema?. ingekuwa hivyo wangeacha kuiba ardhi ya wapalestina na wangeacha kuwatreat na kuwaua kama wanyama!. information nilizokuwa nazo ni kwamba waisrael wenye asili ya ethiopia wanabaguliwa ndani ya israel

Worldwide euphoria has been generated by the Palestinian threat to "declare independence" in September 2011. Never mind that Palestine no longer has a legitimately elected parliament or president, thus no legitimate government. Wapelestina ni walowezi amabao hawana kwao zaidi ya kukaa kwenye ardhi ya watu kwa miaka kibao sasa wanadai eti ni yao. Hivi lini Palestina ilisha wai kuwa Nchi? Hivi kuna ushaidi wowote ule ambao unaweza kutuletea tuone kuwa, Palestina wana Birth Cert za Palestina? The money that circulates under the Palestinian Authority (PA) is the Israeli new shekel.

Wkuu, tuache ushabiki na tuangalie undani wa kila jambo.

Wayahudi ni watu Wapole sana, ndio maana
 
laiti ungejua, usingesema chochote.

Asante, lakini najua kuwa Pelestine wanatumia Fedha za Israel. Palestine wanatumia birth cert za Israel. Hao Palestine hawana jeshi. Sasa kweli Palestine ni kitu gani?
 
Nashangaa kuona maoni kama haya. Waishii dunia hii yetu. Hawa Waisraeli ni wabaguzi wakubwa, ni makatili ambao wanawaua Wapalestina kila siku, somo kuhusu Qana Massacre, Sabra and Shatilla Massacre, na ukatili mwingine Israel. Unalopaswa kufahamu utawala wa Israel umetajwa na Umoja wa Mataifa kuwa utawala wa Kibaguzi-Racist State. Hauna tafauti bali ni mbaya zaidi kuhusu utawala wa kibaguzi wa Afrika Kusini.
Vipengee vya Kongamano la Kimataifa Kuhusu Ubaguzi wa Rangi huko Durban Afrika Kusini mwaka 2001 lilisema hivi:


SOURCE

Asante kwa posti yako, lakini umeshindwa kusema chanzo cha hayo yote ni nani? Hebu angalia hii post niliyo annex hapa uone nani ni chanzo cha hayo machafuko huko Palestine/Israel Israel Under Fire

Habari hizi ni current na inaonyesha jinsi gani hao unao watetea wanavyo tupo maroketi nchini Israel. Ndugu, tafakari kwa makini sana kuhusu propaganda za Palestina, maana sasa zimefikia mwisho.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom