instanbul JF-Expert Member Joined Jun 26, 2016 Posts 12,540 Reaction score 19,485 Apr 11, 2019 #2 Hizo nywele vip Sent using Jamii Forums mobile app
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,636 Reaction score 220,350 Apr 11, 2019 Thread starter #3 instanbul said: Hizo nywele vip Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Zinasokotwa na udongo uliochanywa na samli
instanbul said: Hizo nywele vip Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Zinasokotwa na udongo uliochanywa na samli
Scorpio Me JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 6,119 Reaction score 7,950 Apr 11, 2019 #4 Sky Eclat said: Zinasokotwa na udongo uliochanywa na samli Click to expand... Duh uchafu Sent using Jamii Forums mobile app
Sky Eclat said: Zinasokotwa na udongo uliochanywa na samli Click to expand... Duh uchafu Sent using Jamii Forums mobile app
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Apr 11, 2019 #5 Huyo mtoto hapo kwenye utosi ni nini?
google helper JF-Expert Member Joined Jun 11, 2013 Posts 9,668 Reaction score 13,868 Apr 11, 2019 #6 mwanamke usafi hiyo ya queen anajua mleta mada
instanbul JF-Expert Member Joined Jun 26, 2016 Posts 12,540 Reaction score 19,485 Apr 11, 2019 #7 Sky Eclat said: Zinasokotwa na udongo uliochanywa na samli Click to expand... Tuje Kwako unaweza suka hizo nywele ili uwe queen? Sent using Jamii Forums mobile app
Sky Eclat said: Zinasokotwa na udongo uliochanywa na samli Click to expand... Tuje Kwako unaweza suka hizo nywele ili uwe queen? Sent using Jamii Forums mobile app
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Apr 11, 2019 #8 Mungu huwa anawalinda waja wake kutokana na mazingira wanayo ishi,Matope hayo niweke mimi siku moja tu ya pili niko hospital vidonda kichwa chote.
Mungu huwa anawalinda waja wake kutokana na mazingira wanayo ishi,Matope hayo niweke mimi siku moja tu ya pili niko hospital vidonda kichwa chote.
Ethical Ninja CEH JF-Expert Member Joined May 16, 2011 Posts 3,695 Reaction score 5,052 Apr 11, 2019 #9
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 53,246 Reaction score 50,468 Apr 11, 2019 #10 Ma queen wa jf mnaona mwenzenu Sent using Jamii Forums mobile app
Arushaone JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 15,235 Reaction score 13,539 Apr 11, 2019 #11 Sky Eclat said: Zinasokotwa na udongo uliochanywa na samli Click to expand... Asijaribu kupuliza moto ukashika hizo nywele, samli na moto ni zaidi ya petrol na moto. Hata baniani huchomwa kwa samli wakishafariki.
Sky Eclat said: Zinasokotwa na udongo uliochanywa na samli Click to expand... Asijaribu kupuliza moto ukashika hizo nywele, samli na moto ni zaidi ya petrol na moto. Hata baniani huchomwa kwa samli wakishafariki.
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,530 Reaction score 81,257 Apr 11, 2019 #12 scorpio me said: Duh uchafu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wewe unaevaa mawigi ya wafu ndio msafi?
scorpio me said: Duh uchafu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wewe unaevaa mawigi ya wafu ndio msafi?
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 93,880 Reaction score 132,153 Apr 11, 2019 #13 Hawachi said: Huyo mtoto hapo kwenye utosi ni nini? Click to expand... Kiduku Ova Sent using Jamii Forums mobile app
Hawachi said: Huyo mtoto hapo kwenye utosi ni nini? Click to expand... Kiduku Ova Sent using Jamii Forums mobile app
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Apr 11, 2019 #14 mrangi said: Kiduku Ova Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Aisee unywele mmoja 😀😀😀
mrangi said: Kiduku Ova Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Aisee unywele mmoja 😀😀😀
Scorpio Me JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 6,119 Reaction score 7,950 Apr 11, 2019 #15 chaliifrancisco said: Wewe unaevaa mawigi ya wafu ndio msafi? Click to expand... Sivaagi mawigi mkuu
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,360 Apr 11, 2019 #16 Signature yangu yajieleza “ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,360 Apr 11, 2019 #17 Hawachi said: Huyo mtoto hapo kwenye utosi ni nini? Click to expand... Itakuwa ni kinywele kama kile cha Kirukuu “ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
Hawachi said: Huyo mtoto hapo kwenye utosi ni nini? Click to expand... Itakuwa ni kinywele kama kile cha Kirukuu “ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Apr 11, 2019 #18 Beberu Mwitu said: Status yangu yajieleza “ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ” Click to expand... Ina maana gani?
Beberu Mwitu said: Status yangu yajieleza “ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ” Click to expand... Ina maana gani?
Foxhound JF-Expert Member Joined Dec 15, 2013 Posts 28,735 Reaction score 76,360 Apr 11, 2019 #19 Hawachi said: Ina maana gani? Click to expand... Hakuna mwanamke yeyote atakaechukua nafasi ya mama yangu “ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
Hawachi said: Ina maana gani? Click to expand... Hakuna mwanamke yeyote atakaechukua nafasi ya mama yangu “ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ”
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Apr 11, 2019 #20 Beberu Mwitu said: Hakuna mwanamke yeyote atakaechukua nafasi ya mama yangu “ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ” Click to expand... Aisee hata mimi mkuu🤔
Beberu Mwitu said: Hakuna mwanamke yeyote atakaechukua nafasi ya mama yangu “ᴬⁱⁿ̇`ᵗ ᵃ ʷᵒᵐᵃⁿ ᵃˡⁱᵛᵉ ᵗʰᵃᵗ ᶜᵃⁿ ᵗᵃᵏᵉ ᵐʸ ᵐᵒᵐᵐᵃ`ˢ ᵖˡᵃᶜᵉ” Click to expand... Aisee hata mimi mkuu🤔