African facts zone: hizi ni timu zenye mashabiki wengi Africa Yanga ya pili

TIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA

Al ahly.............70million fans

Young Africans..35million fans

Zamalek.......... 30 million fans

Laizer chief .......16million fans

Asec mimosa......15milion fans

Asante kotoko.....10 million fans

Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Makolo wanachoizidi Yanga ni magoli ya kufungwa na uchawi tu.
 
Real Madrid na Barcelona zinazotajwa kuwa na mashabiki wengi ndio timu ambazo kwenye social media zinaongoza kwa idadi kubwa ya followers.

Lakini hiki chanzo chako kimekuja kuonesha tofauti kuwa Club inayoongoza kwa idadi kubwa ya followers ndio timu ndogo kabisa kwa idadi ya mashabiki dhidi ya timu yenye followers wachache.

Chanzo chako hakijaeleza kimetumia formula gani kupata hiyo idadi ya mashabiki kwasababu katika hali ya uhalisia ukasema utoe takwimu nje ya followers basi inabidi ifanyike sensa ya mtaa kwa mtaa.

Labda watuambie hiyo sensa ilifanyika lini na kwanini mtaani kwetu hawajapita?
Mkuu, formula ileile iliyotumika kupata mashabiki bora
 
Real Madrid na Barcelona zinazotajwa kuwa na mashabiki wengi ndio timu ambazo kwenye social media zinaongoza kwa idadi kubwa ya followers.

Lakini hiki chanzo chako kimekuja kuonesha tofauti kuwa Club inayoongoza kwa idadi kubwa ya followers ndio timu ndogo kabisa kwa idadi ya mashabiki dhidi ya timu yenye followers wachache.

Chanzo chako hakijaeleza kimetumia formula gani kupata hiyo idadi ya mashabiki kwasababu katika hali ya uhalisia ukasema utoe takwimu nje ya followers basi inabidi ifanyike sensa ya mtaa kwa mtaa.

Labda watuambie hiyo sensa ilifanyika lini na kwanini mtaani kwetu hawajapita?
Washabiki wengi wa Yanga umri umeenda, wanawake na wa maeneo ya vijijini ambao hawako active mitandaoni sana.
 
TIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA

Al ahly.............70million fans

Young Africans..35million fans

Zamalek.......... 30 million fans

Laizer chief .......16million fans

Asec mimosa......15milion fans

Asante kotoko.....10 million fans

Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Majini Subiani
 
TIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA

Al ahly.............70million fans

Young Africans..35million fans

Zamalek.......... 30 million fans

Laizer chief .......16million fans

Asec mimosa......15milion fans

Asante kotoko.....10 million fans

Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sio washabiki....ni wanachama waliosajiliwa weka record sawa
 
TIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA

Al ahly.............70million fans

Young Africans..35million fans

Zamalek.......... 30 million fans

Laizer chief .......16million fans

Asec mimosa......15milion fans

Asante kotoko.....10 million fans

Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Haihitaji hata torch hii kujua kabisa engineer elsi kawadanganya caf kuhusu uhalisia wa timu yao ya yanga.. washabiki millioni 35.. uongo wa asubuh kabisa
 
Back
Top Bottom