Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,587
- 22,135
Hata kwa mtaani kwa Manara hawakupita 😂😂Labda watuambie hiyo sensa ilifanyika lini na kwanini mtaani kwetu hawajapita?
Hata kwa mtaani kwa Manara hawakupita 😂😂Labda watuambie hiyo sensa ilifanyika lini na kwanini mtaani kwetu hawajapita?
Wewe na watoa takwimu all are fools 😁
In this I stand as a reporterWewe na watoa takwimu all are fools
You stand as reporter Uto 😂😂
Wamefanya research mkuu , kwanza mashabiki wengi wa mpira hawajui hata kama hizi team zina accounts za social media, na itoshe kusema social media sio chanzo cha kujua nani ana watu wengi nani hana, me mshabiki wa Arsenal ila nimewafollow man united, madrid, barcelona na vitu kama hivyo mkuu, Itoshe kusema Nusu ya wana Tz ni wana Yanga…Mbele daima…Basi kama ni hivyo unaweza kusema kuwa Yanga ina mashabiki wengi kuliko hata Madrid kwa kigezo hicho hicho
Ndio maana nimeuliza imetumika formula gani kupata hiyo idadi??
Bado sijajibiwa hilo swali
SahihiWamefanya research mkuu , kwanza mashabiki wengi wa mpira hawajui hata kama hizi team zina accounts za social media, na itoshe kusema social media sio chanzo cha kujua nani ana watu wengi nani hana, me mshabiki wa Arsenal ila nimewafollow man united, madrid, barcelona na vitu kama hivyo mkuu, Itoshe kusema Nusu ya wana Tz ni wana Yanga…Mbele daima…
Hakuna nna mkuu
Kama ni hivyo kumbe hata Ihefu inaweza kuwa na mashabiki wengi kuliko Yanga.Wamefanya research mkuu , kwanza mashabiki wengi wa mpira hawajui hata kama hizi team zina accounts za social media, na itoshe kusema social media sio chanzo cha kujua nani ana watu wengi nani hana, me mshabiki wa Arsenal ila nimewafollow man united, madrid, barcelona na vitu kama hivyo mkuu, Itoshe kusema Nusu ya wana Tz ni wana Yanga…Mbele daima…
Ndio kigezooo
Sijapinga inawezekana mastaKama ni hivyo kumbe hata Ihefu inaweza kuwa na mashabiki wengi kuliko Yanga.
Utapinga kwa kigezo gani?
Mbona wewe upo kinyumeee?Fanya utafiti....Kila kwenye watu 10....watu 7 ni Wana yanga
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sasa niambie wewe ni formula gani iliyotumika kupata idadi ya fans?Sijapinga inawezekana masta
Research mzee, watu wamechakata dataSasa niambie wewe ni formula gani iliyotumika kupata idadi ya fans?
Siku hizi Laizer mchimba madini ya tanzanite anamiliki timu?TIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA
Al ahly.............70million fans
Young Africans..35million fans
Zamalek.......... 30 million fans
Laizer chief .......16million fans
Asec mimosa......15milion fans
Asante kotoko.....10 million fans
Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hii ni tentative Hypothesis mkuuMbona wewe upo kinyumeee? View attachment 2908542
Tumu Gani bossSiku hizi Laizer mchimba madini ya tanzanite anamiliki timu?
Research ilifanyikaje?Research mzee, watu wamechakata data
Hukuona parade ya ubingwa.Research ilifanyikaje?
Parade ilifanyika wapi?Hukuona parade ya ubingwa.
Ambayo haijawahi fanyika Africa.
Mbumbumbu wamekuwa mabingwa wakiita parade ya mashabiki wanaenda mateja tu
Yanga ni kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app