African facts zone: hizi ni timu zenye mashabiki wengi Africa Yanga ya pili

Basi kama ni hivyo unaweza kusema kuwa Yanga ina mashabiki wengi kuliko hata Madrid kwa kigezo hicho hicho

Ndio maana nimeuliza imetumika formula gani kupata hiyo idadi??

Bado sijajibiwa hilo swali
Wamefanya research mkuu , kwanza mashabiki wengi wa mpira hawajui hata kama hizi team zina accounts za social media, na itoshe kusema social media sio chanzo cha kujua nani ana watu wengi nani hana, me mshabiki wa Arsenal ila nimewafollow man united, madrid, barcelona na vitu kama hivyo mkuu, Itoshe kusema Nusu ya wana Tz ni wana Yanga…Mbele daima…
 
Wamefanya research mkuu , kwanza mashabiki wengi wa mpira hawajui hata kama hizi team zina accounts za social media, na itoshe kusema social media sio chanzo cha kujua nani ana watu wengi nani hana, me mshabiki wa Arsenal ila nimewafollow man united, madrid, barcelona na vitu kama hivyo mkuu, Itoshe kusema Nusu ya wana Tz ni wana Yanga…Mbele daima…
Sahihi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wamefanya research mkuu , kwanza mashabiki wengi wa mpira hawajui hata kama hizi team zina accounts za social media, na itoshe kusema social media sio chanzo cha kujua nani ana watu wengi nani hana, me mshabiki wa Arsenal ila nimewafollow man united, madrid, barcelona na vitu kama hivyo mkuu, Itoshe kusema Nusu ya wana Tz ni wana Yanga…Mbele daima…
Kama ni hivyo kumbe hata Ihefu inaweza kuwa na mashabiki wengi kuliko Yanga.

Utapinga kwa kigezo gani?
 
TIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA

Al ahly.............70million fans

Young Africans..35million fans

Zamalek.......... 30 million fans

Laizer chief .......16million fans

Asec mimosa......15milion fans

Asante kotoko.....10 million fans

Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Siku hizi Laizer mchimba madini ya tanzanite anamiliki timu?
 
Back
Top Bottom