Utajiri una siri kubwa mambo mengi yamejificha ndani yake biblia inasema ni vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa MUNGU ni heri ngamia atapenya katika tundu la sindano.
Azam hayupo? na Regnald Mengi hawamo
Utajiri una siri kubwa mambo mengi yamejificha ndani yake biblia inasema ni vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa MUNGU ni heri ngamia atapenya katika tundu la sindano.
Utajiri wa clean money unawezekana.
Acha uvivu na ufanye kazi kwa bidii.
Milionea na Bilionea wote duniani sio wachafu kama unavyodhani.
Dangote watumishi wake nigeria walilalamika kwa malipo ya chini wanayopata wakati wanamzalishia kila siku faida.
Hali kadhalika matajiri wengi wa TZ, chunguza malipo wanayopata watumishi wao ,tajiri hawezi kukulipa vizuri wewe sababu anajua una shida ukikataa atakuja mwenye shida mungine kuchukua nafasi yako, ela anayotakiwa akulipe vizuri ndiyo anapelekea kwenye faida yake aupate ubilionea au umilionea, bila hivyo haupati.....
Bado sana, but najua mengi ni phils mmoja mzuri hivi Salim sijui hela zake anatoaga wapi!
Ni upuuzi kuandika list ya mabilionea Afrika na kuwaacha wanasiasa/viongozi wa Afrika ikiwemo Moi, Kenyatta, Zuma, Ramaphosa & Kabila n.k. List hiyo ni bosheni tu
Utajiri una siri kubwa mambo mengi yamejificha ndani yake biblia inasema ni vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa MUNGU ni heri ngamia atapenya katika tundu la sindano.
Sshilole mbona simuoni kwenye hiyo list? maana nataarifiwa utajiri wake umeongezeka mpaka dola 89.2 billion kutoka dola 55.6 billion mwaka 2014
Hongera Dada Shilole kwa kutusua.
Bill Gates is the world's wealthiest man, according to Forbes magazine's annual list of the world's richest people. Gates' net worth rose to $79.2 billion from $76 billion a year earlier, putting him at the top for the 16th year in the last 21.
A record number of 290 dollar billionaires were added to the list in 2014, including Michael Jordan. The new additions to Forbes magazine's annual rich list, published on Monday, takes the total to a record 1,826 billionaires.
The number of Africans on the list remains at 29, consisting predominately of Egyptians (27.5%) part of either the Mansour or Sawiris clan. Notably, Tanzanian born Mohammed Dewji makes his debut on the list with a net worth of $1.25 billion, while Aliko Dangote keeps his place as Africa's richest man, albeit after his net worth dropped to $14.7 billion, down from $25 billion in 2013.
Femi Otedola, 78% owner of Forte Oil returns to the list after falling off in 2009.
The Forbes Billionaires List: 2015