Afisa Usafirishaji

Afisa Usafirishaji

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,992
Reaction score
12,028
20250407_155323.jpg
Kuna watu wanapenda kuwatia moyo wenzao! Eti afisa Usafirishaji!
 
Kwani unawapa kula wewe?
Ulitaka wote tuwe bankers?
Eti kuwapa matumaini😳 Wewe unaona siyo kazi nzuri hiyo?
Watoto na mke wanakula,hawaji kuomba kwenu,eti kuwapa matumaini..eeh
Kilamtu aridhike na alichojaaliwa,tusidharauliane🚮
Mkuu mbona povu sana. Pole kwa usumbufu wowote uliojitokeza
 
Daah,nilijiandaa kweli 🤨
Hongera kwa majibu ya busara...nafuta comment 🙏🙏
Ulijiandaa kufanyaje, au hakuna anaejiandaa. Haya Sema ulijiandaa kufanyeje, ili ukutane na walio tayari
 
Bodaboda hawastahili kuitwa ofisa kabisa. Aliyewapa hadhi hiyo alikosea. Watu wa vijiweni watapewaje hadhi hiyo? Maofisa usafirishaji ni wale wa NIT, maofisa wengine ni TRA, BANK, EWURA, LATRA, TANROAD, TARURA, TAWA, TAWIRI, TANAPA, POLISI, JWTZ, MAGEREZA, UHAMIAJI, ZIMAMOTO, ELIMU, AFYA, KILIMO, BIASHARA, OFISA ustawi wa jamii, maofisa habari na mawasiliano na wengine kwenye ofisi za umma. Sio wahuni wa vijiweni kuitwa maofisa, huko ni kupotoka
 
Back
Top Bottom