cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,840
- 137,556
KhaaaaahHakuna cha majambazi wala nini! Huyu demu alikuwa akisimama na demu mwenzake anamcontain asilimia 100 na lazima amle siku hiyo hiyo..Demu lilikuwa halilazi damu hili. Mwaka 2016 niliwahi kupata story zake yani kipindi hicho alikuwa amewala mademu wengi na wakali kuliko mimi shababi. Kuna mnyarwanda mmoja nilikuwa namnyatia alikuwa na mzigo halafu White siku moja namkuta kwa hili lisagaji kavaa khanga huku lisagaji likiwa limevaa pensi wamekaa wanakula ugali kwa mtindi aiseee huyu demu nilimvulia kofia. Inawezekana kabisa wana waliomuua watakuwa wamechapiwa na tomboy wakaona isiwe kesi! Mwana alikuwa mwingi yani anakupokonya live huku unaona akimpenda tu mtu wako wafwaaa.