Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,183
- 50,354
Ndio procurement officer si ndio?Maafisa wote wanaohusika na huu ugavi nchini waangaliwe ndipo hasara zinapatikana na huko mgondini ni tukio dogo
Ndio procurement officer si ndio?Maafisa wote wanaohusika na huu ugavi nchini waangaliwe ndipo hasara zinapatikana na huko mgondini ni tukio dogo
Itakuwa ila nimeumia jamani wamemuua kikatili sana no matter what ....hakustaili hayo mi nahisi ni mambo ya kudhulumiana madili labda si unajua watu wa procument kwa madili nae alikuwa na kaubabe flani huenda walipiga dili ila wakazinguana yani roho imeniuma sanaDah
Kafa kifo cha mateso sana. Inaonekana walimziba pumzi kwanza kwani alishindwa kupiga kelele ili apate msaada wa majirani.
Atakuwa alingia 18 mbayaHuyu msagaji namjua vizuri, alikuwa na crew yake ya wasagaji na mara ya mwisho kumuona alikuwa na harrier nyeusi ila ni muda umepita.
Kitendo cha kukatwa mkono, ni dhahiri ndio anautumia kuwa finger wenzake, itakua ni masuala ya mapenzi.
Na nijuavyo mwanamke akisagwa basi huyo ame left kundi, ni ngumu sana kurudi.
Itakua alichukua vya watu(mwanamke).
Pia nimewaza hili, afu wanasingizia kaiba wake za watu, ili kuficha uovu wa wauaji,Cheo chake ndio mambo ya manunuzi na tenda hafu mgodini manunuzi pesa ndefu ma crushers, milling machines au dumpers. Usikute chanzo ni pesa na deals.
Mi pia nahisi hivyo sidhani kama ni mambo ya usagaji itakuwa wamepiga dili wakadhulumiana labda wakawa wanajibishana shit wakaona isiwe shida na kama unavyojua serikali ina mkono mrefu sana watawakamata tu wauwaji japo inaweza kuchukua muda kama hawakuacha simu maana waliokamatwa ni mafundi sasa sidhani kama wana issue sababu wao asubuh wamefika site ndio wakakuta ya kukutaCheo chake ndio mambo ya manunuzi na tenda hafu mgodini manunuzi pesa ndefu ma crushers, milling machines au dumpers. Usikute chanzo ni pesa na deals.
Unakaza fuvu mkuu,ushaambiwa anachukua mpaka mademu wa watu,angemsaga mkeo ungekuwa na hali gani?Kama kauawa kweli basi itakua ni ishu nyingine nje ya huo usagaji,, sioni ni namna gani mtu atachukua hatua za namna hiyo kwa lesbo,, kwa kipi hasa yani,, tena kwa Geita,, hapana
Moja kwamoja ,huyu lazima pahala alitapeliNdio procurement officer si ndio?
Pia nchini na serikali hakuna pahala haidili na Hawa watu kuazia ,ngazi ya chini ,walimu wakuu ,nkNdio procurement officer si ndio?
Geita hakuna binadamu? geita hakuna waume za watu? geita wao ni malaika sio? Mfano ungejua kamsaga mkeo ww ungechukua hatua gani kama mwanaume au mkikuta vidume vimewala wake zenu mnakasirika ila wakisagwa hamuoni shida ww nae ni wale wale mmetofautiana jinsiaKama kauawa kweli basi itakua ni ishu nyingine nje ya huo usagaji,, sioni ni namna gani mtu atachukua hatua za namna hiyo kwa lesbo,, kwa kipi hasa yani,, tena kwa Geita,, hapana
Mtoto shoga hazaliwi anakuzwa. Malezi na mazingira anapokulia ndiyo humfanya awe kwenye upande wa ushoga au uanaume halisi usikurupuke kuona kwa mwenzako wakati ww utapata watoto pia. Labda kama na ww unakandwa kisamvu inamaana hutazaa basi unaweza nisemea hivyo ila kama utazaa mtoto kikubwa ni malezi na mazingira yanayomzunguka ila kwa ulivyoandika inaonyesha dhahiri wanakupakua tope bila wasiwasiWatu kama nyie hamchelewagi kuzaa watoto mashoga, yametokea
Ujumbe na ufikeSwala la usagaji na ushoga ndivyo linavyotakiwa kumalizika hapa bongo tusionyeshe kupinga haki za binadamu lakini chini kwa chini wafyekelewe mbali washenzi kabisa demu kama huyo kapata kiburi kwaajili yapesa angekua choka mbaya angefanya huo ujinga? Na wenzake wanaingia mtegoni kwakua anawahonga aende salama na ujumbe uwafikie wenye tabia kama zake
hii imetoa funzo kubwa sana kwa jamii inayo jihusisha na vitendo kinyume na maumbile.
Hata mimi nahisi hivyo.Atakuwa alingia 18 mbaya
Duh
Ova