Afisa mtendaji written interview

Afisa mtendaji written interview

korino

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
1,014
Reaction score
684
Habari zenu wapendwa! Kwa waliowahi kufanya written interview ya afisa mtendaji hivi maswal yake yanakuwaje? Nisaidien jamani
 
lazma ujue kazi za nafasi uliyoomba,mengne ni maswali ya kawaida sna mdogo wangu kwenye field yako
 
Pia inatakiwa usome civics sana ndio maswali yanatoka mle. Mf local Government, revenue, separation of power na mengine pia
 
Pia inatakiwa usome civics sana ndio maswali yanatoka mle. Mf local Government, revenue, separation of power na mengine pia

Gud....ndo hayo hayo Mara nying
 
Una moyo kweli. Unajua applicants walikuwa wangapi?

acha kumvunja moyo mwenzako, mi nilitumia mda, hela na nguvu kutuma application na kujiandaa kwa interview kila baada ya kutuma applctn, na sikupata, ila siku ya siku Mungu mkubwa naitwa mahala na kuanza kazi.
 
Halafu ww tamalisa naulizia kinondoni kama hujui si bora ukae kimya eti nikaulize ofisini.
 
mtambuka ujue maana yake. o&od.kazi na majukumu ya tamisemi.kanuni na maadili ya mtumishi wa umma.mamlaka za mjini na vijijini na nyanja pia na kazi na majukumu yake.katiba na muundo wa utawala ngazi za halmashauri za mjini na vijijini.......hapo na uwezo wako wa kuelewa hoja za kijamii katika maendeleo.siasa pia na uchumi....all the best
 
korino, Afisa Mtendaji vp? Ni hawa watu wa serikalini like Afisa Mtendaji Kata/Kijiji and the like, or? Kama ndivyo, basi be prepared... interview za serikalini ni za kipuuzi sana! Tofauti na interview za private sector ambazo unaweza kwenda bila maandalizi na ukatusua, za serikalini, hususani hizo za afisa fulani unatakiwa kuwa deep na mambo ya kiserikali serikali! Kwa uchache tu, kv sifahamu unazungumzia posts zipi hasa, basi jiandae na haya yafuatayo:
  • NI zipi kazi za Afisa Mtendaji?
  • Unafahamu nini kuhusu kanuni za maadili ya utumishi wa umma?
  • Toa mifano ya kanuni na maadili ya utumishi wa umma
  • What about MKUKUTA?
  • Nini malengo ya MKUKUTA?
  • Unaifahamu TAKUKURU wewe?
  • Unaifahamu TAMISEMI korino? Unafahamu nini kuhusu muundo wake?

Mengine nitarudi baadae!!
 
korino, Afisa Mtendaji vp? Ni hawa watu wa serikalini like Afisa Mtendaji Kata/Kijiji and the like, or? Kama ndivyo, basi be prepared... interview za serikalini ni za kipuuzi sana! Tofauti na interview za private sector ambazo unaweza kwenda bila maandalizi na ukatusua, za serikalini, hususani hizo za afisa fulani unatakiwa kuwa deep na mambo ya kiserikali serikali! Kwa uchache tu, kv sifahamu unazungumzia posts zipi hasa, basi jiandae na haya yafuatayo:
  • NI zipi kazi za Afisa Mtendaji?
  • Unafahamu nini kuhusu kanuni za maadili ya utumishi wa umma?
  • Toa mifano ya kanuni na maadili ya utumishi wa umma
  • What about MKUKUTA?
  • Nini malengo ya MKUKUTA?
  • Unaifahamu TAKUKURU wewe?
  • Unaifahamu TAMISEMI korino? Unafahamu nini kuhusu muundo wake?

Mengine nitarudi baadae!!

Asante naz
 
Back
Top Bottom