Fernando Jr
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,236
- 4,845
Kweli mtz mpe picha habari ataweka mwenyewe. Hata Jeshi la Polisi halijapata chanzo cha mauaji wala mtuhumiwa humu tayari upelelezi umekamilika na kubaini chanzo ni dhuluma ya viwanja, dhuluma ya haki na mapenzi. Halafu watuhumiwa ni wananchi wa mtaa huo! Mbaya zaidi mauaji yanabarikiwa na kufurahiwa sana!!
Watanzania tumefika mbali sana!
RIP mtendaji.
Watanzania tumefika mbali sana!
RIP mtendaji.