Mwaminifu kwa majambaz wenzie CHAMA CHA MAJAMBAZI(C.C.M)
Luten-General(mstaafu)Shimbo ndiyo mwenye hizo hela au?
Luteni Generali Abrahmam Shimbo
Mh Zitto Kabwe amekaririwa na Gazeti la Mwananchi la 01 Okt kuwa katika yale matrilioni ya pesa zinazomilikwa na vigogo kwenye akaunti zao nje ya nchi, mmojawao ni Afisa wa JW TZ mstaafu.
Huyo mzee lazima atakuwa 60 + yrs, atazifanyia nini pesa hizo alizotuibia ktk umri huo? Anawatafutia laana tu watoto na wajukuu zake watakaorithi mapesa hayo!
Kuna kigogo mmoja wa JW TZ aliyestaafu hivi karibuni, alituhumiwa humu JF kuwa amepokea mabilioni kwa ajili ya Askari waliopo UN mission nje na kuhifadhi nje.
Ikiwa ni mara kadhaa sasa ZZT akisema atawataja waliotuibia fedha zetu na kuzificha nje bila kuwataja, nashindwa kuelewa ni nini kinamzuia kuwataja. Kusubiria eti serikali kunasiku itawashughulikia wezi hao wakati serikali ya CCM ndio mwizi ni kucheza cheusi chekundu.
Tunataka mwembe yanga sio kutishia nyau. Weka majina hadharani tuyumbe na wezi wetu kama wale wa redio na adhabu za kimila. Kama unaogopa kurushwa majina hadharani nayaomba mimi nikusaidie kuyaweka hadharani.
Chief Mkwawa wa Kalenga
Niliuwawa na wajerumani ili muishi huru
Gen Mwita Kiaro hakuwa na mapesa, Magenerali wa Mkapa na JK ndio hao mafisadi kama waliowateua.
BTW hivi General Ngwilizi ni mstaafu?
shida ya Zitto huwa hataji watu anaowatuhmu kwa majina anaacha kwenye dilema na hii huwa ni njia ya kukaribisha rushwa ukiwa na ushahidi wa kutosha taja jina mtu kama navofanya doctor Slaa Then mwambie aende mahakamani hujui kitu kaa kimya!