Afisa mkopo NMB Ngudu punguza dharau

Afisa mkopo NMB Ngudu punguza dharau

nyamva

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
244
Reaction score
156
Naandika uzi huu nikiwa na hasira mno.

Hasira na gadhabu yangu imepandishwa na huyu afisa mikopo wa benki yetu makapuku ya NMB. Hivi sijui tuite uzembe au dharau ama kiburi cha majinuni.

Mtu unaoprocess mkopo wiki mbili mkopo hauupati. Eti afisa mikopo Yupo!!

Mbaya zaidi unapigiwa simu saa za kazi hupokei.

Kila nikiomba mkopo huwa kuna mazingira ya rushwa unayaunda kiasi kwamba huwa unawachelewesha mikopo ili upewe kitu kidogo ndo uniwekee fedha.

Binafsi umenikera mno.kwa majibu unayotoa sometime ukibahatika kupokea simu yangu.ooh Mara fomu bado ziko halmashauri, wiki mbili??. Afu umekaa kitini comfortably kabisa?

Bora Kama mkopo umeshindikana unasema.

Kumbuka tunaokupa jeuri ya kuitwa afisa ni Sisi walala hoi!.

Ushauri wangu 😛unguza dharau kijana utadumu.

Ndimi :muhakikiwa wa kila Mara!
 
Amekusikia mkuu.... tatzo ma loan officer wanakuaga na dharau sana ukiwa una shida...
Ila vikiwa hawajamit target utaona wanavyotia huruma
 
Funguka vizur usaidiwe, ni wa mkoa gani na tawi gani la NMB.
 
Ngudu ipo mwanza wilaya kwimba in shòrt uyo Pasco ni mchaga mpuuzi sana alisha nizingua sana are Mimi nikaenda crdb jana maana kbs alishazoea madili we mtangazie home jst siku moja tu umechukua mzigo
 
Sio huyo tu. Ni karibia Bank zote hapa tz wanakuwekea mazingira ya rushwa na hata kama sio rushwa basi customer care kwao ni sifuri (0).
Bank pekee inayojali wateja ni PBZ, japo ina tawi moja tu hapa bongo. Hakika wazanzibar wanajua kujali customers, yaani hata kama yupo busy kiasi gani atahakikisha unaondoka ukiwa umeridhika. Hata kama mkopo utachukuwa muda lakini watakuwa wazi kwako.

Hata namna wanavyokuhudumia unagundua sio unafiki au sababu ya kazi but anajali kweli kwa dhamira ya kweli.

I wish wangekuwa na matawi kila mkoa
 
Back
Top Bottom