Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,548
nyie ndiyo mnaojipendekeza,umewahi kupiga simu landline crdb ikapokelewa?na kam kutoa namba ya simu ni favour kwanini anawapigia wateja?hiki kitu kipo cha msingi uongozi wa crdb wafuatlie na waangalie kama ni majungu wampandishe cheo,tatizo la watanzania ni kuhalalisha uzembe na kiburi cha kazi kuwa sahihi hasa mnapokuwa na tabia sawa
Wewe akili zako ni fupi kama funza. Hamuwezi kutuwekea vituhuma vya kipuuzi visivyoingia akilini hapa halafu mtegemee tuwaunge mkono. Mtu akifata utaratibu wa kazi yake mnamuona eti anawasumbua. Kama ungekuwa na sababu za msingi ungefikisha malalamiko kwa bosi wake. Acheni majungu kwenye kazi za watu.