Afisa Mikopo CRDB Makambako anakera

Afisa Mikopo CRDB Makambako anakera

cheguevara

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
1,348
Reaction score
653
Afisa mikopo kwa jina Mwajuma wa CRDB Makambako anakera na amekuwa akizungusha wafanyakazi wanaoomba mikopo hapo tawini kwa kuwaambia leta hiki au kile na ukikamilisha anatoa namba ya simu 0719 843 933 kisha hapokei unapompigia ili kujua status ya mkopo wako.

Kwa kweli amekuwa kikwazo katika hili tunaomba uongozi wa CRDB Makambako ummulike na ikiwezekana aondolewe. Inakuwaje Mfanyabiashara anampa mkopo ndani ya saa 24 lakini mtumishi wa serikali anakaa wiki na bila taarifa yoyote. Na unakuta mwingine katoka nje ya Makambako na yuko guest na mtu anaomba mkopo ili kutatua matatizo yake hivyo ni vizuri kuupata muda muafaka na mapema siyo kuzungushwa kiivyo.

Nawasilisha.
 
Acha chuki binafsi. Huwezi safiri toka nje ya wilaya na kufikia guest eti unasuburi mkopo. Kawaida unajaza form zako unaacha unaondoka hadi taratibu zitakapokuwa tayari unaitwa, bila hata ya kutoa rushwa. Unauhakika gani kama hao ''wafanyabiashara wakubwa'' wameanza taratibu za mkopo ndani ya siku moja? MAJUNGU...!!!. Tatizo letu sisi wabongo tukiwa na shida tunataka kulazimisha mikopo itoke ndani ya siku moja, ndio tatizo linapoanzia hapo. Hata kama mimi sipokei simu yakoToka hapo guest haraka sana, rudi kazini kafanye kazi, taratibu zikikamilika utaitwa
 
nathan mkurugenzi wa mikopo makao makuu bwana TEMU yupo humu ndani utapata jibu mda c mrefu
 
mpumbavu sana huyo dada au alitaka RUSHWA, yani anakua anaringa kama customer care.....PUNANA YAKE..,
 
Taarifa ulizoweka hazitoshelezi kuonyesha makosa yake. Kuomba nyaraka ni sehemu ya utaratibu na inaonyesha anafuata utaratibu wa kutoa mkopo. Pia ujue nyaraka anazotakiwa kutoa mfanyabiashara kama security ni tofauti unazotoa wewe mfanyakazi. Usimpake mtu matope kwasababu zako binafsi. Kutokupokea simu sio justification ya yeye kuwa na mapungufu ya kiutendaji. Kwanza amekufanyia favour kukupa namba yake ya mkononi (kama hajanunuliwa na CRDB kwa ajili ya kazi), kiutaratibu ulipaswa kupiga simu ya ofisi, landline kwa masuala ya ofisi.
 
Hivi kwa akili yako finyu unafikiri huo mkopo ni yeye anaetoa? ye anakusanya taarifa zako tu na kuziwakilisha kwa mkuu wa idara na meneja wa tawi, hana uwezo wa kuidhinisha mkopo
 
Kama ni kweli ajirekebishe na kama jamaa ana visa basi Mungu atupilie mbali huo uzushi.
 
chuki binafsi, si ndo wewe nilisikia baada ya kumpigia muongee habari za mkopo unaanza kumtongoza,halafu utapigaje sim saa tano usiku?
 
Afisa mikopo kwa jina Mwajuma wa CRDB Makambako anakera na amekuwa akizungusha wafanyakazi wanaoomba mikopo hapo tawini kwa kuwaambia leta hiki au kile na ukikamilisha anatoa namba ya simu 0719 843 933 kisha hapokei unapompigia ili kujua status ya mkopo wako.

Kwa kweli amekuwa kikwazo katika hili tunaomba uongozi wa CRDB Makambako ummulike na ikiwezekana aondolewe. Inakuwaje Mfanyabiashara anampa mkopo ndani ya saa 24 lakini mtumishi wa serikali anakaa wiki na bila taarifa yoyote. Na unakuta mwingine katoka nje ya Makambako na yuko guest na mtu anaomba mkopo ili kutatua matatizo yake hivyo ni vizuri kuupata muda muafaka na mapema siyo kuzungushwa kiivyo.

Nawasilisha.



Pole sana kwa masibu yanayokupata, ombi laki sio vizur kuweka namba yake Mtandao kwasababu kuna baadhi ya watu watatumia namba yake vibaya, tafadhali unaweza kuitoa namba yake, pia fikisha malalamiko yako kwa MENEJA katika tawi la benki. Pia wahusika wa CRDB wataona huu uzi watafuatilia suala lako.

Tafadhali sana naomba utoe namba yake.
 
chuki binafsi, si ndo wewe nilisikia baada ya kumpigia muongee habari za mkopo unaanza kumtongoza,halafu utapigaje sim saa tano usiku?

ndo wewe muhusika mwenyewe utakua unajitetea hapa, si useme tu ulikua unataka RUSHWA.....,.
 
chuki binafsi, si ndo wewe nilisikia baada ya kumpigia muongee habari za mkopo unaanza kumtongoza,halafu utapigaje sim saa tano usiku?

Binti wa kiislam anampigia simu saa tano usiku aende Bar wakajadili kuhusu mkopo teh teh
 
Ni kweli jamaa wanakera sana utafikiri makato yanafanyika kupitia mishahara yao.Hili jambo lipo jamani acheni etetezi wa kinafiki...
 
Acha chuki binafsi. Huwezi safiri toka nje ya wilaya na kufikia guest eti unasuburi mkopo. Kawaida unajaza form zako unaacha unaondoka hadi taratibu zitakapokuwa tayari unaitwa, bila hata ya kutoa rushwa. Unauhakika gani kama hao ''wafanyabiashara wakubwa'' wameanza taratibu za mkopo ndani ya siku moja? MAJUNGU...!!!. Tatizo letu sisi wabongo tukiwa na shida tunataka kulazimisha mikopo itoke ndani ya siku moja, ndio tatizo linapoanzia hapo. Hata kama mimi sipokei simu yakoToka hapo guest haraka sana, rudi kazini kafanye kazi, taratibu zikikamilika utaitwa

sidhani kama kuna mtu atachukua mkopo hana shida pia mtu kabla hajachukua mkopo hizuka benki tofauti na kupewa maelekezo hasa hapo makambako husema ndani ya saa 48 mkopo tayari,kuja makambako watu wengi wanakuja kutoka mikoa mbalimbali kufuata mikopo na wamekuwa wakipewa fedha nyingi kuliko matawi mengine,chuki nani amchukie fanya utafiti siyo kupinga mtu anapotoa hoja,nyaraka gani zinahitajika zaidi ya barua ya ajira,salary slip kama ni wewe mwenyewe tarjia mabadiliko na kama ni kibarka wako akulinde sana
 
Taarifa ulizoweka hazitoshelezi kuonyesha makosa yake. Kuomba nyaraka ni sehemu ya utaratibu na inaonyesha anafuata utaratibu wa kutoa mkopo. Pia ujue nyaraka anazotakiwa kutoa mfanyabiashara kama security ni tofauti unazotoa wewe mfanyakazi. Usimpake mtu matope kwasababu zako binafsi. Kutokupokea simu sio justification ya yeye kuwa na mapungufu ya kiutendaji. Kwanza amekufanyia favour kukupa namba yake ya mkononi (kama hajanunuliwa na CRDB kwa ajili ya kazi), kiutaratibu ulipaswa kupiga simu ya ofisi, landline kwa masuala ya ofisi.

nyie ndiyo mnaojipendekeza,umewahi kupiga simu landline crdb ikapokelewa?na kam kutoa namba ya simu ni favour kwanini anawapigia wateja?hiki kitu kipo cha msingi uongozi wa crdb wafuatlie na waangalie kama ni majungu wampandishe cheo,tatizo la watanzania ni kuhalalisha uzembe na kiburi cha kazi kuwa sahihi hasa mnapokuwa na tabia sawa
 
Hivi kwa akili yako finyu unafikiri huo mkopo ni yeye anaetoa? ye anakusanya taarifa zako tu na kuziwakilisha kwa mkuu wa idara na meneja wa tawi, hana uwezo wa kuidhinisha mkopo

swala siyo yeye kuidhinisha mkopo kuwa muelewa siyo kurupuka,kwani hawezi kukalia fomu za watu kwa makusudi zisifike kwa wakati kwa wahusika?na ndicho anachofanya usitete uovu mtu anapotoa kero zake inamaana kashuhudia.
 
chuki binafsi, si ndo wewe nilisikia baada ya kumpigia muongee habari za mkopo unaanza kumtongoza,halafu utapigaje sim saa tano usiku?

lengo ni kuboresha siyo chuki binafisi swala la kutongoza labda wewe ndiyo demu wako na amekwambia hivyo,hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kupiga simu ya kikazi usiku saa tano labda mwenye akili mbovu kama wewe
 
Back
Top Bottom