Afisa Elimu kujiteua mfanyakazi bora

Afisa Elimu kujiteua mfanyakazi bora

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,217
taarifa ya habari ITV wanaonyesha TUCTA na wafanyakazi wakigoma mpatia zawadi afisa elimu Rorya kwa kujiteua kuwa mfanyakazi bora. Hhii ndio nchi chini ya gambazi..
 
Hivi Afisa Elimu wa Rorya anaitwa nani?
 
taarifa ya habari itv wanaonyesha tucta na wafanyakazi wakigoma mpatia zawadi afisa elimu rorya kwa kujiteua kuwa mfanyakazi bora.hii ndio nchi chini ya gambazi.sound like mwigulu na uchumi wa first class.

Huyu afisa elimu ni mpumbavu sana. Serukamba him.!
 
hUYU KAISHIWA MBINU KIASI HICHO!!! kwa mfanyakazi bora anapatikana vipi? ni Afisa elimu anachangua tu?
Kama mfanyakazi bora anachaguliwa na AFISA elamu basi kuna tatizo la mfumo kupata hao wafanyakazi bora hata kama asipojiweka yeye anaweza kuweka weka tu
 
chini ya ccm kila kitu cha wendawazi kinaweza kuwa ktk sera.babu aliwapiga kikombe wote.waganga wanawavua nguo na kuwatoboa kila chaguzi zikikaribia.

Jiulize km report ya utawala bora ambayo taifa hujitathmin lenyewe zitakuweje kwa serikali ya ccm ambayo mara yote ipo ktk uhalifu kuliko waalifu mahiri na jinsi walivyo na uongo wa karibu..
 
Hii mupya, kujiteua ufanyakazi bora lol!
 
Back
Top Bottom