Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Habari kutokea Jijini Arusha kwenye Baraza la Madiwani wa jiji hilo zinasema Afisa Biashara amesimamishwa na baraza hilo kutokana na kufanya mchezo mchafu aliyeshirikiana na Diwani wa Moshi Mjini Makoi diwani wa CCM walichezea leseni za jiji hilo kwa kutoa kinamna namna kwenye Maduka ya Makoi
afisa biashara huyo Privanus Katingila amesimamishwa kwa kutoa lesini moja kwenye zaidi ya maduka Ishirini ambayo ni kosa kisheria ambayo niya Makoi Kada Mtifu wa Ccm na Diwani wa Moshi ambaye pia kwenye utawala uliopita wa Madiwani wa Ccm Bwana Makoi amefanya ufisadi Mkubwa kwa kujimilikisha maduka ya Jiji na kuwa mali yake huku Halmashauri ya jiji la Arusha halipati pesa yoyote.
Kioja kingine Bwana Makoi alichofaya baada ya uongozi wa Baraza la Madiwani kumnyanganya maduka ya jiji yeye akafoji barua ya Katibu wa Tamisemi ili aendele kuhodhi maduka hayo lakini Meya na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kufwatilia ndio wakajua barua hiyo haikutokea kwa katibu wa Tamisemi
hayo ndio kwa ufupi bahadhi ya mambo wana ccm waliopita waliweza kujimilikisha jiji la Arusha kwa Manufa yao binafsi
afisa biashara huyo Privanus Katingila amesimamishwa kwa kutoa lesini moja kwenye zaidi ya maduka Ishirini ambayo ni kosa kisheria ambayo niya Makoi Kada Mtifu wa Ccm na Diwani wa Moshi ambaye pia kwenye utawala uliopita wa Madiwani wa Ccm Bwana Makoi amefanya ufisadi Mkubwa kwa kujimilikisha maduka ya Jiji na kuwa mali yake huku Halmashauri ya jiji la Arusha halipati pesa yoyote.
Kioja kingine Bwana Makoi alichofaya baada ya uongozi wa Baraza la Madiwani kumnyanganya maduka ya jiji yeye akafoji barua ya Katibu wa Tamisemi ili aendele kuhodhi maduka hayo lakini Meya na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kufwatilia ndio wakajua barua hiyo haikutokea kwa katibu wa Tamisemi
hayo ndio kwa ufupi bahadhi ya mambo wana ccm waliopita waliweza kujimilikisha jiji la Arusha kwa Manufa yao binafsi