Afghanistan Target Tanzania

X-PASTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
11,604
Reaction score
1,858
UN Report on Heroin Flow
Afghanistan Target Tanzania



East African countries, particularly Tanzania, have been receiving more Afghan heroin flows, as the continent of Africa at large emerges as a conducive drugs trafficking route to Europe, North America and other parts of the world.

The revelation has been made in a report released recently by the United Nations Office on Drugs and Crime, which says that drug traffickers, faced with tough restrictions to transit through Asia and Middle East, have turned Africa into their preferred station for heroin shipment to Europe and elsewhere.

The report titled “The global Afghan Opium Trade: A threat Assessment” points out that Afghan heroin flows across Tanzania and East Africa are now blamed for generating increased drug abuse in the region and some parts of the continent.

It notes that during the first quarter of 2011, there were two major heroin seizures (each above 100 kg) reported by Kenya and Tanzania, adding: “The most fragile African states are particularly vulnerable, as drug trafficking organisations are able to exploit the low capacity at seaports and airports. Indeed, East Africa’s minimal law enforcement at ports of entry has encouraged drug traffickers to transit heroin from Pakistan or Gulf countries through East Africa

DOWNLOAND “The global Afghan Opium Trade: A threat Assessment” at: unodc.org (right click here and save)


Source: Thefrontierpost
 
Inabidi Makanisa na Bakwata wachunguzwe kwa kina.
 
Nyie peke yenu ndio msiojua game.....mimi nimezaliwa na kukulia uswazi.Ukisikia mtu kaenda shamba Pakistan...maana yake ameenda kuchukua mzigo(heroin/Opium),kwenye boda ya Pakistan na Afghanistan.Hii tangu zamani sana(I'm talking about eighties).Ila wanadhani haya mambo yameanza leo.
 

Hakuna asiyoyajuwa hayo ila sasa yamezidi, tumeona mpaka wachungaji wakishikwa kwa kufanya hii biashara haram, tumesikia makanisa na bakwata wakihusika kwa namna moja au nyingine, hiyo pekee inaonesha kuwa hii biashara imeshamiri na inabidi ishikiwe bango ili isambaratishwe hapa kwetu.

Tunaona jinsi vijana, watoto (chini ya miaka 18) na wazee wakiathirika kwa haya maunga. Tushirikiane kwa nguvu zote kupiga vita hii biashara inayoangamiza vizazi.
 
Agree!....zamani walikuwa wana trffic juu kwa juu,siku hizi wanauza Bongo na Zanzibar.Wameharibu na kuua marafiki zangu wengi sana!!
 
Agree!....zamani walikuwa wana trffic juu kwa juu,siku hizi wanauza Bongo na Zanzibar.Wameharibu na kuua marafiki zangu wengi sana!!
Do we have any rehab programs for the victims of substance abuse?
 

Madawa ya kulevya yameshamiri zaidi kutokana na uongozi legelege katika taasisi nyingi kubwa hapa nchini tangu Mh. Kikwete aingie madarakani.

Ona haya mambo yameanza kuzungumzwa na orodha za wauza unga kutupwa kapuni na wahusika wenye mdhamana wa kutuondolea adha hii:

Habari inatoka hapa: http://www.habaritanzania.com/articles/2667/1/Serikali-yaficha-majina-ya-vigogo-wauza-%91unga%92

Mh. Rais Kikwete amekuwa na orodha ya wauza unga tangu 2006, lakini mpaka hii leo hatujasikia hata mmoja akiwa ametiwa nguvuni. Kwa aina hii ya uongozi inayopenda misifa kwa kutoa matamko makubwa lakini utekelezaji wake ni zero, tatizo litaongezeka au kupungua?? Ona habari hii ya mwaka 2006:
Inatoka hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/257-majina-ya-wauza-madawa-ya-kulevya-jk-anayo-4.html
 
Biashara ya madawa ya kulevya Heroin, Chalas, Opium, Khat, muda mrefu sana watu wanafanya hapa Tanzania.
Kuna mtandao mkubwa sana wa hii biashara, vijana wengi wa kitanzania kwa tamaa zao za kimaisha tumewapoteza baada ya kuingia kwenye kazi hiyo wamejaa kwenye magereza sehemu tofauti. HongKong, China, Japan, Thailand, Macao,
Hizi nchi nilizozitaja vijana wanapewa dola 10,000 kila kichwa ukifikisha unga.
Cha hatari zaidi katika nchi hizo ukikamatwa na unga wanakufunga miaka mingi. Mfano China kama una mzigo mwingi wanakunyonga, kuhukumiwa miaka 50 ni kawaida tu.
Ulaya nako ndio usiseme uzuri wa ulaya ukikimatwa unafungwa miaka michache, na ugumu wa Ulaya ni viza tofauti na Asia viza rahisi
 
Inabidi Makanisa na Bakwata wachunguzwe kwa kina.


Serikali legelege ndio inayoleta haya madhara, ikiwa inawajua wauza unga kwanini isiwakamate? Huyu Fisadi Kikwete inawezekana nae anafaidika na haya Maunga. Huwezi kusema eti waache kuuza unga au tutawachukulia hatua. Huyu Fidsadi ameiharibu na bado anaiharibu nchi yetu kila siku anatoa muda kwa wahalifu na kuwaambia waache au kama umeiba pesa za EPA na kupa muda uzirudishe Huu ni ujinga utaisha lini Serikalini wa kutowachukulia hatua wahalifu?

Tahadhari Watanzania wenzangu hii Serikali Legelege ya Huyu Fisadi ishatupeleka pabaya na bado itatusukuma sehemu ambayo hatuwezi kuvumilia tena huu ujinga wake. Tuchukueni hatua
 
Hivi kwa nini FF anaandika Makanisa na Bakwata? Kwa nini isiwe Misikiti na Makanisa au Mapadre/Wachungaji/Maaskofu vs Masheick?

Au kuna kitu mie hapa sielewi? Hii ni kitu ni janga jingine la Taifa na si jambo la kujifanya Mie Muislaam/Msikiti silifanyi. Wanafanya watu wa kila aina na kila Rangi. Zinafanya taasisi tofauti na hata za dini, bila kujali ni dini gani.

Ukisoma alichoweka X-Pastor ni kuwa hii hali inatokea sana kwenye nchi za Africa ambazo serikali yake ipo legelege. Hatimaye Effect za Ulegelege wa Uongozi wa Tanzania zimeshaanza kuonekana waziwazi hadi nje.Ila utaona JITU zima na nywele zimeota kila kona, linajifanya halioni hilo na linashinda kutetea Uozo. I hope kwenye familia yao, atazuka Teja mmoja wa nguvu na yeye atashinda akifurahia Uongozi wa Tanzania.
 
watu wanaoyaingiza hayo madawa wanafahmika tatizo kila siku zinatoka political talk tuu n no action taken
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…