ii. Taliban walipoondoka Russia walitawala nchi hiyo ikatulia kukawa of course na war lord wachache ambao hawakuwa issue sana..mpaka walipovamia America ambao pamoja na mambo mengine wamerakani wana walipa Wauza unga,(karzai etc)and War lords wauue raia na watoto (just kudestabilize taliban) nani shetani hapo..lol America call spade a spade