Ndio unaweza kwanza lazima uwe na page zenye watu au ujue sehemu za kununua traffic. Pia lazima ucahue niche kwamfano kama unapost kuhusu utalii basi tafuta affiliates za mahoteli , usafiri ,ndege na makampuni ya utalii,, ukishajiunga utapewabanner, link ay promo code anza kupromote. Asanteni