Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imetoa ahadi ya kuipatia Serikali ya Tanzania mkopo wenye masharti nafuu.
Mkopo huo utakuwa mahsusi kwa ajili ya ujenzi kufanikisha ujenzi wa reli ya kati (SGR) unaotarajiwa kuanza hivi karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkopo huo utakuwa mahsusi kwa ajili ya ujenzi kufanikisha ujenzi wa reli ya kati (SGR) unaotarajiwa kuanza hivi karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app