Afcon 2027

Afcon 2027

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
5,608
Reaction score
7,166
Hivi kweli kuwa kenya wamenyang'anywa nafasi ya kuandaa hayo mashindano?
 
Nafasi yao wamepewa Rwanda. Wakenya ni manyang'au wasiojitambua kwenye mambo ya msingi kama hayo.
 
Ila +254 ukiwaona wanavyotamba mitandaoni utaogopa, Kumbe bure kabisa.....
 
Viwanja vyao ni vya riadha za olympic ila vina pich ,viwanja vina viti vya zege
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom