fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,608
- 7,166
Hivi kweli kuwa kenya wamenyang'anywa nafasi ya kuandaa hayo mashindano?
kwa sasa tumewazidi kila kituIla +254 ukiwaona wanavyotamba mitandaoni utaogopa, Kumbe bure kabisa.....
kipi kama kiwanja tu hamna..kwa sasa tumewazidi kila kitu
Tanzania hatuna kiwanja?kipi kama kiwanja tu hamna..