Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 783
- 695
"Baadhi ya watu, ukiangalia yale ambayo tayari tumeambiwa kupitia baadhi ya vyombo vya habari barani Afrika na sehemu nyingine duniani, wanasema kwamba Rais wa CAF anapaswa kuanza kufikiria mpango B na mpango C, na kuiondoa AFCON kutoka Tanzania, Kenya na Uganda. Hilo halitatokea" - Dkt- Patrice Motsepe, Rais wa CAF