Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,372
- 81,807
Labda tusubiri penati. Mpaka sasa hali ni mbaya. Mungu ingilia kati hii ishu ya Yanga
Tshishimbiiiiiii!!π£
Labda tusubiri penati. Mpaka sasa hali ni mbaya. Mungu ingilia kati hii ishu ya Yanga
Hizi ndio kauli zako sasa Mtani!!!Labda tusubiri penati. Mpaka sasa hali ni mbaya. Mungu ingilia kati hii ishu ya Yanga
Haijalishi Mtani. πππYanga ni Njombe mji iliyochangamka.
ππππ inamaana hii quote OKW BOBAN SUNZU hakuiona kweli. πππTshishimbiiiiiii!!π£
Sijui kwa nini kuna saa hili swali linakuwa gumu. πππVipi matokeo?
Kuna wakati nakukubali sana, kwa kuwa kwenye ukweli huwa hupindishi maneno.TUMESHINDA MECHI YA JANA ILA WASHAMBULIAJI BADO KWETU NI CHANGAMOTO.
Sina neno mtani umeniziba mdomo ππHaijalishi Mtani. πππ
Na hii ndio imefanya mpaka sasa sijaona zile kauli za watani zangu Tui na Khaligraph Jordan. Mana wana kauli zao sijui Yanga ni Mbute nini vile. Teh teh.
Ingekuwa tumefungwa mbona ningewaona hapa Mtani tena kwa wingi wenu ule ule ninaoujua na povu juu. πππππSina neno mtani umeniziba mdomo ππ
Nakulia timing tu wiki hii utakuwa Gaberone kwenye uwanja wa Taifa la Botswana wameanzisha kampeni yao ya kujaza uwanja wanasema.Ingekuwa tumefungwa mbona ningewaona hapa Mtani tena kwa wingi wenu ule ule ninaoujua na povu juu. πππππ
Hahahaaa!!! Mtihani ni pale sisi tutakaposonga halafu nyie mkabaki mmeduwaa.Nakulia timing tu wiki hii utakuwa Gaberone kwenye uwanja wa Taifa la Botswana wameanzisha kampeni yao ya kujaza uwanja wanasema.
.
#TlatsaLebala yani Tuujaze uwanja na mimi nasemaje Popa the blues ππ
Jamani Mtani. Mbona goli ndio lilianza.Mtani Shadeeya umemsikia Zahera ? Hata jana mambo yalikuwa magumu ilibidi refa awe mzalendo amtoe mchezaji wa AFC Leopards kwa kadi nyekundu .Wakawa pungufu .I rest my case.
Mkivuka nipigwe ban takatifuHahahaaa!!! Mtihani ni pale sisi tutakaposonga halafu nyie mkabaki mmeduwaa.
Hapatatosha hapa Mtani. ππππ
Mimi Simba ila nachukizwa na dharau hizi za Zahera kwa uongozi wa YangaTuna mchezo mgumu na muhimu wa marudiano dhidi ya Township Rollers.
"Nahitaji muda kuiandaa timu lakini tunakuja kupoteza muda huku Moshi na Arusha.
"Tumecheza na Polisi kisha AFC katika viwanja vibovu hakuna jambo la maana tulilofaidika nalo hii ziara tungeweza kuifanya muda mwingine sio huu" amesema Zahera baada ya mchezo wa jana dhidi ya AFC Leopa