Afariki siku ya nne baada ya harusi

Afariki siku ya nne baada ya harusi

New Nytemare

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2011
Posts
3,400
Reaction score
2,572
Imetokea huko mkoani Njombe bibi harusi afariki siku nne baada ya harusi yake, yani kafunga harusi Jumamosi kafariki Jumatano, dah very sad!
d37ffc81c9ab2268b28ef9bf63287065.jpg
36bc777b28737d82a716d7811f09b21b.jpg
4bbc239b347cdaa8b40178e017e93aaa.jpg
3560a1b28b53e68e1da3e290f317cb77.jpg
 
Ile kauli ya " tukose wote" yawezekana imetumika. Vijana huwa tunakosa msimamo kwenye masuala ya kimahusiano ya kimapenzi. Unaweka ahadi na huyu kesho ukipata mpya wa zamani unamtelekeza tena na vijembe juu. Mwisho wa siku mambo kama haya hutokea. Japo yaweza kutokea kwa mipango ya Mungu pia. Pole kwa bwana harusi ajitafakari kabla hajasonga mbele.
 
Alikua na mimba ama maana naona kitambi...
Ila r. I. P
 
R.I.P Mwenyenzi Mungu ampokee mja wake na awape faraja wafiwa
 
Back
Top Bottom