New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,400
- 2,572
Imetokea huko mkoani Njombe bibi harusi afariki siku nne baada ya harusi yake, yani kafunga harusi Jumamosi kafariki Jumatano, dah very sad!
Mkuu mipango ya Mungu. Acha imani haba.njombe uchawi umezidi sana
Hakuna hawa wote wametokea moshi toke uchumbanjombe uchawi umezidi sana
Kwani ni huko tu hata kwetu upo tena mchana kweupeHuyo atakuwa kalogwa Kama huamn uchaw njoo kwet Usukuman bariad
