demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Hizi stori za kununua mchezi mbona kama zina mashiko. Maana mabao ya Penati yalikuwa mengi sana msimu huu.
Hizi stori za kununua marefa mbona zimekuwa nyingi. Maana mabao ya offside yalikuwa mengi sana msimu huu, mpaka pale mashabiki wa Yanga walipopaza sauti mitandaoni.
Lakini pia huenda wakawa wabovu kupindukia, mbona wameshindwa kupata matokeo mazuri na timu ambazo hazinunuliki kwa pesa ya Madafu.
Young Africans1-0Simba SC
Simba SC0-1JKT Tanzania
Simba SC2-2Young Africans
Simba SC0-0Tanzania Prisons
Mwadui1-0Simba SC
Mtibwa Sugar0-0Simba SC
Simba SC1-1Biashara Mara United
(zingatia aina ya timu ambazo wameshindwa kupata matokeo)
Je pia ni kweli kusema ndio timu pekee yenye wachezaji wenye wastani mkubwa wa umri.
Afande sele alitupatia Jawabu Mubashara. (SHABIKI NAMBARI ONE WA SIMBA)
Ukweli ni kwamba timu yetu Simba huwa inashinda mechi nyingi kwa kununua timu pinzani au marefa lakini ni mbovu sana imejaa wachezaji wazee na magarasa ndio maana mimi namuona hata MO Dewji ni mpiga dili hana nia ya kuwekeza kweli kwenye soka'' Afande Sele, shabiki mkubwa wa Simba
Hizi stori za kununua marefa mbona zimekuwa nyingi. Maana mabao ya offside yalikuwa mengi sana msimu huu, mpaka pale mashabiki wa Yanga walipopaza sauti mitandaoni.
Lakini pia huenda wakawa wabovu kupindukia, mbona wameshindwa kupata matokeo mazuri na timu ambazo hazinunuliki kwa pesa ya Madafu.
Young Africans1-0Simba SC
Simba SC0-1JKT Tanzania
Simba SC2-2Young Africans
Simba SC0-0Tanzania Prisons
Mwadui1-0Simba SC
Mtibwa Sugar0-0Simba SC
Simba SC1-1Biashara Mara United
(zingatia aina ya timu ambazo wameshindwa kupata matokeo)
Je pia ni kweli kusema ndio timu pekee yenye wachezaji wenye wastani mkubwa wa umri.
Afande sele alitupatia Jawabu Mubashara. (SHABIKI NAMBARI ONE WA SIMBA)
Ukweli ni kwamba timu yetu Simba huwa inashinda mechi nyingi kwa kununua timu pinzani au marefa lakini ni mbovu sana imejaa wachezaji wazee na magarasa ndio maana mimi namuona hata MO Dewji ni mpiga dili hana nia ya kuwekeza kweli kwenye soka'' Afande Sele, shabiki mkubwa wa Simba