Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,892
Nani anakumbuka siku traffic anachapwa na wanajeshi nilikuwa pale alikuwa anaongea na simu huku anavuta upande mmoja nusu saa kama vile hizi zingine hazion kilionekana ni kama kunawatu wanawapigia matraffic wavute wawahi na wale wamabasi wengine huwatumia Tigo pesa ama Mpesa traffic ili wavute upandewao pekee
Leo tuko ubungo sasa toka saa tano kaso robo tumesimama tu gari zinapiga honi havuti upande wa Mwenge to ubungo
Je, wanajeshi wakiwapiga mtalalamika kweli??
Leo tuko ubungo sasa toka saa tano kaso robo tumesimama tu gari zinapiga honi havuti upande wa Mwenge to ubungo
Je, wanajeshi wakiwapiga mtalalamika kweli??