Huyu kweli hazimtoshiAfande anaejulikana kwa jina la anthony kutoka kituo cha chalinze amekamatwa na magunia ya bange ambayo alikuwa anayasafirisha na gari lake binafsi.View attachment 1468762
NomaAfande anaejulikana kwa jina la anthony kutoka kituo cha chalinze amekamatwa na magunia ya bange ambayo alikuwa anayasafirisha na gari lake binafsi.View attachment 1468762
Kwa akili yako ya ki mchwamchwa ili mtu aongeze kipato lazima auze bangiSasa kama walimu wana tuition centre, manesi wana maduka ya dawa mlitaka police wafanye nini kuongeza kipato
Unaijua hukumu ya kesi hiyo wewe au unaropoka tu!Jibwa limekula mbwa
Nani kachomesha utambi tena?
Kuliko afande mla rushwa na muuwaji bora huyo asiyeua ila anabiashara zake kama hizo