Mugabe wa Bongo
Senior Member
- Apr 14, 2012
- 145
- 73
Mwezi March mwaka huu 2015,Taarifa ilitoka ya kupotea kwa Wakili Philbert Gwagilo ambaye ni mwenyeji wa Dodoma,Ambapo kwa mujibu wa chanzo cha taarifa hiyo kilieleza kua Gwagilo alipotea katika mazingira ya kutatanisha,huku kukiwa hakuna mwenye taarifa kuhusu wapi Ndugu yetu Philbert Gwagilo amekwenda au amepotelea...
Gwagilo Alisoma Shule ya Msingi Mlimwa,Then Dodoma Secondary,Kisha Mpwapwa Secondary na baadae kujiunga na Chuo Kikuu UDSM, ambapo baadae alifanya Law School...na kuanza kazi ya Uwakili...
Wanajamvi wenzetu Je kuna mwenye taarifa yoyote kuhusu Wapi alipopotelea Advocate Philbert Gwagilo...au nini inawezekana Hatukijui kuhusu kupotea kwake.
Nawasilisha.
.
Gwagilo Alisoma Shule ya Msingi Mlimwa,Then Dodoma Secondary,Kisha Mpwapwa Secondary na baadae kujiunga na Chuo Kikuu UDSM, ambapo baadae alifanya Law School...na kuanza kazi ya Uwakili...
Wanajamvi wenzetu Je kuna mwenye taarifa yoyote kuhusu Wapi alipopotelea Advocate Philbert Gwagilo...au nini inawezekana Hatukijui kuhusu kupotea kwake.
Nawasilisha.
.