Advanced Mathematics Books by Kinunda

htuc

Member
Nov 7, 2007
87
51
Wakuu, I am looking for Advanced Math Books Vol I and II by TIE/Kinunda. I will accept used copies at reasonable prices.

Natanguliza shukrani.
 
Mahenga ya PCM utayajua tu ;)

Nakumbuka Kinunda aliweka mathematical proof ya 1 = 2.
 
Mahenga ya PCM utayajua tu ;)

Nakumbuka Kinunda aliweka mathematical proof ya 1 = 2.


Wenzake wanaweka mathematical proof ya Cos²A+Sin²A=1, yeye anadanganya dunia kwamba 1=2 !!!, kweli kinunda ni Nunda.🤣
 
Wakuu, I am looking for Advanced Math Books Vol I and II by TIE/Kinunda. I will accept used copies at reasonable prices.

Natanguliza shukrani.

Mimi ninazo hizo copies lakini nipo mikoani, wewe upo wapi!
 
Wenzake wanaweka mathematical proof ya Cos²A+Sin²A=1, yeye anadanganya dunia kwamba 1=2 !!!, kweli kinunda ni Nunda.

Hujasoma hesabu wewe, umeparaza tu!
Hivi abstract algebra unaifahamu?
Unafahamu kwamba kuna hiki kitu 3x4=0 au 3+2=1?
 
Hujasoma hesabu wewe, umeparaza tu!
Hivi abstract algebra unaifahamu?
Unafahamu kwamba kuna hiki kitu 3x4=0 au 3+2=1?


Kweli sijasoma na hata kama nitasoma kamwe sitamaliza hesabu kwani kila mara branches mpya za maths zinagunduliwa, sasa wewe uliyesoma hiyo "Abstract Algebra" bila kuparaza hebu tufafanulie sie tusiosoma hiyo 3×4=0 na 3+2=1 inakuaje?? , na kabla ya yote tupe maana ya neno "abstract" kwa Kiswahili. [hapa ndipo ninapotaka kupima akili ya Muafrika].🤣
 
Adv, Maths books by kinunda???!! 🤣🤣🤣 umenikumbusha mbali sana.

Kuna; Tranter, Turner, Backhouse 1 &2 nk.
Prof Shayo, sisi wabishi kabisa tulikuwa tunatumia Advance Maths by Erwin Kreyszig
 
That is called a Mathematical Humor (a+b)^2=(a+b)(a+b)....if a=b the axb=a^2......
Ukiweka premises zako everything is possible kulingana na assumptions zako...., ila katika uhalisia the beauty of mathematics ni kwamba its not subjective yaani useme 2 + 2 ni 8 alafu ulete maelezo marefu kwanini ni 8 hizo sasa zitakuwa ni siasa na sio hesabu....
 
Kinunda hakuandika vitabu hivyo; aliweka sahihi yake tu vilipobadilishwa jina kutoka "Entebbe Mathematics Series" kwa vile alikuwa mkurugenzi wa elimu ya sekondari wakati huo. Vitabu vile viliandikwa na project ya USAID kwa kusaidiana na Ford Foundation ili kuimarisha elimu ya hisabati katika nchi za Afrika zilizokuwa zimepata uhuru. Project yenyewe ilifanyiwa Entebbe Uganda kwa miaka mitano kuanzia mwaka 1962, ndiyo maana ikaitwa hivyo, ila waandishi walitoka sehemu mbalimbali za dunia wengi wakitokea Uingereza.

1739821156046.png
 
Duuh, nimesoma PCM , pamoja na B yangu ya hesabu ila hiko kitabu cha kinunda ndo nakisikia leo
 
Back
Top Bottom