login-logout
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 246
- 350
Pia kujifunza namna ya ku reverse android , hii itakusiadi kufanya audit yako hata kama hujui au source code hazipatikani... unarudi juu kwenye RE kama unataka kupiga OS au APP
Hatu ya kwanza ni uchunguzi wa kitu unacho taka kufanya au ku hack, kichunguze in and out... before hujaenda popote pale... them baada ya uchunguzi wako na tafiti akili yako itakuoa majibu ya kufanya... au itakupa requirement ...Mi natamani sana kujua haya mambo naomba mnisaidie nahitaji kusoma vitu gani niko tayari kujifunza hata kama ni mwaka...
Mtihani huu ndugu yangu mfano rahisi mimi nataka kuhack acc ya mtu x fb hapo c nahitaji kujua baadhi ya programme au??Hatu ya kwanza ni uchunguzi wa kitu unacho taka kufanya au ku hack, kichunguze in and out... before hujaenda popote pale... them baada ya uchunguzi wako na tafiti akili yako itakuoa majibu ya kufanya... au itakupa requirement ...
Mtihani huu ndugu yangu mfano rahisi mimi nataka kuhack acc ya mtu x fb hapo c nahitaji kujua baadhi ya programme au??
Poa ntakupa mrejeshoNakupa Task ya kufanya... kajifunze namna ya ku break ( interecept ) HTTPs, ukishaweza hilo rudi hapa nitakupa hatua inayofata...
Mfano kuna kipindi nilikuwa nafanya sana auditing ya code.. kwangu ikawa rahisi sana kuzitoboa web... hasa upande wa authentication and authorization.. pasipo kufanya prog yoyote... kile unachofanya sana na kukitafiti sana kwako kinakuwa rahisi sana kuki hack... hata demu uliye muweka karibu sana na ukamfanya akuamini na siri zake ... huwa ni rahisi sana kumpata utapo amua kumtongoza au awe mpenzi wako... c.c former Spy Baba Swalehe and his mentee Ambiele Kiviele
The same njia mabyo unatumia kumpata demu mkalii... tumia njia hiyo hiyo kujifunza hacking, kwako itakuwa nyepesi sana na hauto ona ugumu wowote
mi.spy tangu lin mzeeKwa ufupi, ukitaka ku hack kitu kwa urahisi , zoe na ujifunze unachotaka kuki hack... kichunguze in and out.. then ndio utapa ramani au picha kama hicho kitu kina hitaji nini.. hacking ni kama kutongoza demu mazee baba... Ambiele Kiviele and His Former Spy Baba Swalehe
Spy mstaafu... tu 😧😧... sasa hive ni reselvemi.spy tangu lin mzee
yaani hii sababu ndio inakufanya kujifunza hacking?Mtihani huu ndugu yangu mfano rahisi mimi nataka kuhack acc ya mtu x fb hapo c nahitaji kujua baadhi ya programme au??
yap upo sahihi.Kwa ufupi, ukitaka ku hack kitu kwa urahisi , zoe na ujifunze unachotaka kuki hack... kichunguze in and out.. then ndio utapa ramani au picha kama hicho kitu kina hitaji nini.. hacking ni kama kutongoza demu mazee baba... Ambiele Kiviele and His Former Spy Baba Swalehe
Hapa imekaa vizuri sasa..Z1LNUX_P01S0N
Ninaposema kuhusu prog language, namaana hii, huitaji kuwa guru au mtabe kwenye lang..
Upo sahihiuZ1LNUX_P01S0N
Nasisitiza watu wajifunze Algorithm zaidi na kujua zaidi wanacho taku kukichezea, ndio watajua wanatakiwa kufanya kitu gani... hacker mzuri ni yule anae kuja na njia mbadala...
Sio lengo langu n mfano tuyaani hii sababu ndio inakufanya kujifunza hacking?
Nikuambie tu ili kuwa hacker unahitaji kujifunza technology..kujifunza technology si kitu cha kufanya siku moja ni kitu cha muendelezo na inahitaji passion yaani hii ni sekta kabisaa kama ilivo siasa,Biashara,afya nk