Adv.Mwale wa Arusha

Adv.Mwale wa Arusha

chuchunge

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2007
Posts
225
Reaction score
174
Wanajukwaa,mwenye taarifa kama Adv.Mwale wa Arusha kama naye ni miongoni mwa waliosamehewa jana.Huwa nikiangalia mazingira ya kesi yake na maamuzi ya mahakama naonaga kama kuna mkono wa mtu.
Naomba mwenye taarifa pls atupe updates.
 
Wanajukwaa,mwenye taarifa kama Adv.Mwale wa Arusha kama naye ni miongoni mwa waliosamehewa jana.Huwa nikiangalia mazingira ya kesi yake na maamuzi ya mahakama naonaga kama kuna mkono wa mtu.
Naomba mwenye taarifa pls atupe updates.
Kwani alishahukumiwa?
 
Wanajukwaa,mwenye taarifa kama Adv.Mwale wa Arusha kama naye ni miongoni mwa waliosamehewa jana.Huwa nikiangalia mazingira ya kesi yake na maamuzi ya mahakama naonaga kama kuna mkono wa mtu.
Naomba mwenye taarifa pls atupe updates.
Kesi nyingi za serikali ya CCM ni za uzushi.
 
Hebu nipe briefing kidogo..ni nani na ana kesi gani?!
advocate Mswale alishikwa kwa kosa la kutakatisha pesa......kilichomcost ni kuishi maisha ya kifahari sana magari ya kifahari ferrari escalade kwenye gari anatembea na milion 20 ya kulia bata akaunt ikakutwa na zaidi ya bilioni 5 haieleweki ameipataje kuna mwanamke mmoja anafanya kazi KIA alikuwa hawara wake wakakorofishana akamchoma
 
advocate Mswale alishikwa kwa kosa la kutakatisha pesa......kilichomcost ni kuishi maisha ya kifahari sana magari ya kifahari ferrari escalade kwenye gari anatembea na milion 20 ya kulia bata akaunt ikakutwa na zaidi ya bilioni 5 haieleweki ameipataje kuna mwanamke mmoja anafanya kazi KIA alikuwa hawara wake wakakorofishana akamchoma
Aisee!! ni mwaka gani ametiwa nguvuni? Mil.20 za bata..dadeq!
 
Kosa la mwale ni kutokubali kubali kosa. Angeshakuwa uraiani long time . Kesi ya utakatishaji pesa hukumu zake nyingi haizidi miaka mitatu. Ila ukianza kusumbuana na mahakama ndio kesi inaenda hadi miaka kumi na mitano alafu bado ukishindwa bado hukumu ileile ya miaka mitatu utakumbana nayo . While ingekubali mapema ungekula 3yr alafu unakuwa huru.
 
Back
Top Bottom