Habari zenu viongozi.......
Hivi hivi vitabu vya kinunda vina update za hivi karibuni au ndo vya mwaka sabini vilevile....maana nimetafuta nimevikuta vile vya mwaka sabini na nne....
Are we growing wiser or we just going tall???....Sidhani kama ni sahihi mtu kama wewe utumie mda wako kupost s**t kuliko kuchangia kile nilichoandika....Nimeuliza "hivi vitabu vina update za siku hizi au hapana" nini usichoelewa....
Hili limekua tatizo kubwa sana kwenu mnaojifanya wajuaji.
Are we growing wiser or we going tall???....Sidhani kama ni sahihi mtu kama wewe utumie mda wako kupost s**t than kuchangia kile nilichoandika....Nimeuliza "hivi vitabu vina update za siku hizi au hapana" nini usichoelewa....
Hili limekua tatizo kubwa sana kwenu mnaojifanya wajuaji.
kinachomata ni material inside and not updates,sio mpaka kila kitu akutafutie kinunda kama kuna some missig topic au nyingine out of sylubuc update mwenye ndo uanafunzi huo,