Ni mwanasheria aliye simamia ile kesi ya minofu ya magufuli....labda ndio utaelewa kwa urahisi pia ni mwenyekiti mpya aliyechaguliwa kwenye chama cha wanasheria wa tanganyika kama sikosei!
Who's the Guy? Mmempeleka Hospitali? Isije ikawa umekimbilia kuripoti hapa ukamuacha Mgonjwa bila msaada. Manake hata tukimpa pole bila matibabu haitasaidia.
Anywayz, Mpe Pole..