Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
1) Maisha magumu kwa watanzania wengi yaliyosababishwa na UFISADI wa viongozi wa serikali ya CCM
2) Dhuluma ya ardhi na unyanyasaji kwa wananchi unaosimamiwa na serikali ya CCM chini ya Mwamvuli wa WAWEKEZAJI
3) Ahadi za Uongo zinazotolewa na viongozi wa serikali ya CCM kwa wananchi
4) Mishahara midogo, malimbikizo ya madeni ya wafanyakazi, Malipo kiduchu ya wastaafu chini ya utawala wa CCM
5) Siasa za Makundi chini ya muasisi (Mzee wa Kaya) ndani ya CCM
6) Viongozi kuacha maadili ya Waasisi wa CCM, matokea Chama kukosa Dira
7) Kauli Tata za Viongozi wa CCM chini ya Katibu Mwenezi - Nape
2) Dhuluma ya ardhi na unyanyasaji kwa wananchi unaosimamiwa na serikali ya CCM chini ya Mwamvuli wa WAWEKEZAJI
3) Ahadi za Uongo zinazotolewa na viongozi wa serikali ya CCM kwa wananchi
4) Mishahara midogo, malimbikizo ya madeni ya wafanyakazi, Malipo kiduchu ya wastaafu chini ya utawala wa CCM
5) Siasa za Makundi chini ya muasisi (Mzee wa Kaya) ndani ya CCM
6) Viongozi kuacha maadili ya Waasisi wa CCM, matokea Chama kukosa Dira
7) Kauli Tata za Viongozi wa CCM chini ya Katibu Mwenezi - Nape