Utakuwa unajua elektroniki ya anlogue , amplifaya za switch za on and of na transistor kibao ikiwa unataka kutengeneza amp ya digital iwe na display button za kugusa , volume za digital basi unahitaji microcontroller kifupi tu niishie hapo naona unahitaji somo
Utakuwa unajua elektroniki ya anlogue , amplifaya za switch za on and of na transistor kibao ikiwa unataka kutengeneza amp ya digital iwe na display button za kugusa , volume za digital basi unahitaji microcontroller kifupi tu niishie hapo naona unahitaji somo
Zipo tu soma kidogo namna ya kutumia zinapatikana ubongo,na makumbusho vijana wa dit,ud na vyuo wanaosoma computer engineering,na elektroniki ,ukimpta wanapajua maana kila mwaka kuna project za vifaa hivyo
Ni sawa inamaana kwa mfano mi nimetengeneza amplifier lakini audio resiver yake haina remote control
Inamaana ningekua na hicho kifaa nigeweza kuitengenezea remote reserve yangu et
Zipo tu soma kidogo namna ya kutumia zinapatikana ubongo,na makumbusho vijana wa dit,ud na vyuo wanaosoma computer engineering,na elektroniki ,ukimpta wanapajua maana kila mwaka kuna project za vifaa hivyo
Asante sana mkuu samahani lakini kwa maswali lakini ndio kujifunza kwenyewe vipi naweza kujifunza kwa njia ya mtandao yaani hata niwe nalipia maana nipo singida Mimi aise.
Waafrika au watanzania hawana akili ya kuhangaika na vitu vya msingi kama vile kujifunza maarifa. Unaweza kulinganisha uzi unaomhusu Gwajima na huu uzi hapa https://bit.ly/2EWozLi au contents za humu na za kwenye hii forum ndio utajua ni vitu gani watanzania au waafrika wamevipa kipaumbele.
Ni sawa inamaana kwa mfano mi nimetengeneza amplifier lakini audio resiver yake haina remote control
Inamaana ningekua na hicho kifaa nigeweza kuitengenezea remote reserve yangu et
kabisa mkuu kwa urahisi ungeweza kuchukua ic inayotumika kwenye arduino ambayo ni atmega328 na vifaa vingine kama ir receiver kwa ajili ya kupokea mawimbi ya remote yako, transistors ukazitumia kama switch zako na vinginevyo ili kupata hyo circuit.
Arduino ni microcontroller device ambayo inaweza kuitumia kutengeneza vifaa mbalimbali vinavyo hitaji microcontroller, Arduino imelahishwiswa zaidi kwani kuna post na usb port kwa ajili ya data pamoja na software yake ya kufanya configuration , nilipokuwa chuo nimefanya project ya ground tank fuel level and water detection system nilitumia Arduino mega na sensor kibao View attachment 1091530View attachment 1091531