zakayoyoung
Senior Member
- Apr 9, 2019
- 140
- 38
Sawasawa mkuu lakini kazi yake kubwa ni nini mkuu nieleweshe tafadhali nakuombaAngalia mfano wa matumizi https://bit.ly/2zHffsZ
bonge moja la forum ila sijui kwanini limepoa, au wa africa hatupendi ku entertain izi vituAngalia mfano wa matumizi https://bit.ly/2zHffsZ
Kazi yake kubwa ninini hasaKama kuna mtu anagroup la kuuza hizi microcontroller ani add via 0654444064
Kazi yake kubwa ninini hasa
Kazi yake inategemea mzingira, mfano remote control sensorSawasawa mkuu lakini kazi yake kubwa ni nini mkuu nieleweshe tafadhali nakuomba
Electronic naielewa vizuri tu lakini mimezamia sana kwenye mambo ya kuuda amplifier yaani zaivi naziunda mpaka za watt 100Inabidi usome elektroniki utapata tabu sana na maswali yako kama ujui matumizi ya microcontroller ni vizuri sasa uanze kusoma hata mwenyewe kwenye mtandao wewe Google microcontroller utapata masomo tu tosha
Ni sawa inamaana kwa mfano mi nimetengeneza amplifier lakini audio resiver yake haina remote controlKazi yake inategemea mzingira, mfano remote control sensor
NamuuuuWazee wa EEE
Ingia youtube andika arduino utapata kila kitu humo.Namuuuu
Uko sawa ji unajua tena nimekosea kidogo tu aseNi ARDUINO na siyo Adruino
Ujajua ndiomaana nimeuliza humu ili munirleweshe vizuri maana YouTube hakuna post za Swahili mzee babaIngia youtube andika arduino utapata kila kitu humo.
Okey mtafute mtu anaitwa Transistor. Tafuta nyuzi zake humu.Ujajua ndiomaana nimeuliza humu ili munirleweshe vizuri maana YouTube hakuna post za Swahili mzee baba
Yupo hapa hapa forumsOkey mtafute mtu anaitwa Transistor. Tafuta nyuzi zake humu.
Ila jua electronics inafundishwa kwa lugha ya malkia.