Wadau natafta msaada kwa yeyote anayefaham wap hapa Dar naweza pata short courses za Adobe After effects na premiere pro!..Sio lazima iwe ni chuo au taasisi rasmi, hata kama ni mtu binafsi hamna tatizo..
natanguliza shukrani zangu!
Kwakweli vyuo vyetu hakuna hapa labda wanaojalibu ni wahindi so angalia vyuo vya wahindi ukishindwa nenda Uganda au Kenya ndio utakuta hiyo kitu lakn Bongo labda wahindi ndio wanaojalibu jalibu sawa
hebu nipe namba yako kwenye pm naweza kukusaidia kukuunga na jamaa flani anakaa pale upanga anahusika na utengenezaji matangazo mengi ya tv labda he might help you kwakuwa ni among the softwares nazoona anatumia often
hatujajua kwa mtoa mada kaka... ila kiukwel internet inasehem yake tena kubwa kwa insu kaa izo huwez kuikwepa kama kwel umeamua...usitegemee mwlm atakufundsha kila ki2...unaweza kuwa mzur kuliko mwlm...mtizamo tu.