PreGE2025 Ado Shaibu: Wezi Wa Kura washughulikiwe kama Wezi Wengine

PreGE2025 Ado Shaibu: Wezi Wa Kura washughulikiwe kama Wezi Wengine

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
mwizi wa kura ni kama mwizi anayevunja duka, kuiba fedha na kufanya matukio mengine kama hayo hivyo anapaswa kushughulikiwa kama wezi wengine.

Akizungumza leo Juni 18, Katika viwanja vya Bakhresa, Manzese Ubungo Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu Ado amesema kuelekea uchaguzi Mkuu watadhibiti wizi wa kura.

Chanzo: Jambo Tv
 
Kura zinaingizwa vituoni na olisi wenye AK 47 , utawashughulikia vipi vipi kama si changamsha genge?
 
Mkiambiwa mpaka reforms zifanyike hamsikii. Utaambiwa ukishapiga kura, ukae umbali wa mita 200. Na mnavyoogopa polisi, safari hii wa mikoani wameshafika Dar, watatapakaa kama nzi. Unasema umshughulikie wa kuiba kura? Iko siku mtaelewa nini maana ya NO REFORMS NO ELECTION.
 
Back
Top Bottom